Dr. James D Watson: Mshindi wa Nobel aliyedai kiwango cha akili kinatokana na vinasaba vya jamii (genes)

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
37,356
45,706
Gwaiji wa molecular biology, ana miaka 94. Aalifanya ugunduzi muhimu kuhusu muundo wa DNA na usambazaji wa taarifa kupitia nucleic acids katika DNA mwaka 1953, akashinda tuzo ya Nobel mwaka 1962 kwa ugunduzi huo na wenzake wawili.

Kuanzia mwaka 2000 alikuja na madai kwamba kisayansi kiwango cha akili za watu kinaamuliwa na genes huku akisema Waafrika wana akili ndogo kuliko race watu weupe.

Aliendelea kurudia msimamo wake huwa mara kwa mara akidai ni utafiti wa kisayansi na kuna ushahidi kwa madai yake. Wanasayansi wenzake walimtenga taratibu na alinyanganywa tuzo kadhaa na kuondolewa kwenye nafasi mbalimbali lakini ameendelea kushikilia madai yake mpaka leo huku akisisitiza yeye sio mbaguzi wa rangi.
 
Mmmh kama kuna ka ukweli kabisa.

Sa kama Kiongozi ana iba mali ya Nchi yake ilio msomesha na anakwenda kuificha nje.

Sa huyo utakataa kuwa ana akili.

Ama mpaka leo tuna angaika na matundu ya choo na viongozi wasimamizi tena wanapiga pesa kwa ubadhilifu utasema wana akili.

Ni aibu tupu kwa ngozi yetu
 
Gwaiji wa molecular biology, ana miaka 94. Aalifanya ugunduzi muhimu kuhusu muundo wa DNA na usambazaji wa taarifa kupitia nucleic acids katika DNA mwaka 1953, akashinda tuzo ya Nobel mwaka 1962 kwa ugunduzi huo na wenzake wawili.

Kuanzia mwaka 2000 alikuja na madai kwamba kisayansi kiwango cha akili za watu kinaamuliwa na genes huku akisema Waafrika wana akili ndogo kuliko race watu weupe.

Aliendelea kurudia msimamo wake huwa mara kwa mara akidai ni utafiti wa kisayansi na kuna ushahidi kwa madai yake. Wanasayansi wenzake walimtenga taratibu na alinyanganywa tuzo kadhaa na kuondolewa kwenye nafasi mbalimbali lakini ameendelea kushikilia madai yake mpaka leo huku akisisitiza yeye sio mbaguzi wa rangi!
Hivi kama mtu anakupa shanga na wewe una mpa almasi unaonaje hiyo?
Mtu anajenga hosp mwingine analeta sinia la wali mnamchaguwa alie waletea sinia la wali... Iq imakaaje hapo
 
Ila kwa miaka ya zamani kubadilishana shanga kwa almasi ni sawa tu, kwa sababu wengi WAO hawakujua Ina thamani gani na wakahisi huenda hii hii almasi ndio inatengenezwa kiwandani inakua shanga. But all in all wametuzidi teknolojia na sio akiri
Technology ni zao la ufumbuzi , zao ambalo haliwezi kupatikana bila uwepo wa Akili, tukubaliane kwamba wametuzidi akili huo ndio ukweli
 
Kama IQ kubwa ni kutetea midume kufokoana hapo sawa
Kama hujui Sheria ipo na inaruhusu TZ sema ukiwa kichwa kizito Kama wewe kuelewa ngumu ndomana mashoga wapo Tz (ushoga umekuzwa nakitu tunachosema faragha ) wenyewe wakiwa kuta za ndani zanyumba unajua wanachofanya)

Ila tu unakuja kulalama hapa akati jamii tayari imeshindwa kukabili Hilo......

Tunaofatilia Sana Mambo yakijamii tunajua mengi
 
Kama hujui Sheria ipo na inaruhusu TZ sema ukiwa kichwa kizito Kama wewe kuelewa ngumu ndomana mashoga wapo Tz (ushoga umekuzwa nakitu tunachosema faragha ) wenyewe wakiwa kuta za ndani zanyumba unajua wanachofanya)

Ila tu unakuja kulalama hapa akati jamii tayari imeshindwa kukabili Hilo......

Tunaofatilia Sana Mambo yakijamii tunajua mengi
Kwa povu hili sio bure utakua bwabwa.
 
Mmmh kama kuna ka ukweli kabisa.

Sa kama Kiongozi ana iba mali ya Nchi yake ilio msomesha na anakwenda kuificha nje.

Sa huyo utakataa kuwa ana akili.
Ama mpaka leo tuna angaika na matundu ya choo na viongozi wasimamizi tena wanapiga pesa kwa ubadhilifu utasema wana akili.

Ni aibu tupu kwa ngozi yetu
True mtu mwenye akili hawezi fanya haya.Thus Hakuna gavana wa kizungu enzi a ukoloni aliyetumia nafasi yake kuiba mali za umma wote walifanya Kazi kwa uadilifu afrika mzima.
Wizi umeanza na watawala wa kiafrica.
 
Kwa sehemu kubwa Teknolojia inatokana na akili.
Ila kwa miaka ya zamani kubadilishana shanga kwa almasi ni sawa tu, kwa sababu wengi WAO hawakujua Ina thamani gani na wakahisi huenda hii hii almasi ndio inatengenezwa kiwandani inakua shanga. But all in all wametuzidi teknolojia na sio akiri
 
Back
Top Bottom