William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- Sawa kila bin-adam ana mapungufu yake so is our president, lakini kuna one thing ni kwamba ataenda down on our history kama ni the best ever President, mkomavu na msikivivu kuliko wote tuliowahi kuwa nao, ukisoma magazeti ya kila siku, ukisoma mitandao ni matusi tu ya kumtukana mpaka nguoni, lakini hana hiyana na wote wanaomtukana. Tunaona kila siku anakutana nao, anaongea nao wengine ndani ya chama wanajifanya maadui zake lakini hana hiyana nao!
- Unatakiwa kuwa mfano wa kuigwa na wengine, infact wale wanaomrushia matusi rais kila siku, thubutu uwaguse wao, yaani ni balaa! jamani jifunzeni toka kwa Rais kwamba siasa sio vita wala ugomvi, ndio manakwama kwenye ndoto zenu maana hamjaiva bado, hamjakomaa bado, bado hamjui Demokrasia na maana yake, shida yenu ni madaraka tu, mimi nasema mkishika nchi nahamia Malawi!!
FMES - SAUTI YA UMEME!!
- Unatakiwa kuwa mfano wa kuigwa na wengine, infact wale wanaomrushia matusi rais kila siku, thubutu uwaguse wao, yaani ni balaa! jamani jifunzeni toka kwa Rais kwamba siasa sio vita wala ugomvi, ndio manakwama kwenye ndoto zenu maana hamjaiva bado, hamjakomaa bado, bado hamjui Demokrasia na maana yake, shida yenu ni madaraka tu, mimi nasema mkishika nchi nahamia Malawi!!
FMES - SAUTI YA UMEME!!