Mnatakiwa kumpongeza badala ya kumsamehe. Kumbuka wakati wa utawala wake wengi wenu mlilishwa maneno kuwa raisi Kikwete hafai kutawala kutokana na upole wake(ambao ki uhalisia unatokana na upendo, huruma, utu na moyo wa kujali anaowaongoza), pili wengi wenu pia mkadai yey ni raisi dhaifu asiechukua hatua mapema pale anapohitajika kufanya hivyo nk. Sasa baada ya kuyatathini maneno yenu kwa kina ndo akaamua kuchukua maamuzi haya magumu yaliosababisha kumtosha mpaka best wake wa siku nyingi mh Lowasa ili awaridhishe nyie mliokuwa mnataka raisi mkali na mwenye maamuzi ya haraka. So kosa lake lipi hapo. Mlitaka awaletee Lowasa au Membe ambao wanaonekana wana tabia zinazofanana na zake km vile upole, kutabasam kila mda nk? Membe na Lowasa au Mkapa hawausiki na hili. Ni nyinyi wenyewe including wapinzan ndio mlitaka raisi wa aina hiiJK ndio chanzo ya haya matatizo yote.. Vita yake na Lowasa Vs Membe matokeo yake ndo haya. Sisi ndo tumsamehe yeye.