Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 2,039
- 1,276
Mkuu wa TAKUKURU amekiri zile 700m wakati wa uteuzi wa mgombea urais Dodoma zilikuwa za Rushwa, maana walinusa sema ni chombo kingine kilichokamata hivyo wao hawawezi tolea maelezo.
Chanzo: ITV.
Je, yupo sahihi katika hili ama nguvu za kimamlaka zimemzidi?
Chanzo: ITV.
Je, yupo sahihi katika hili ama nguvu za kimamlaka zimemzidi?