Eghainimalinya
JF-Expert Member
- Feb 6, 2018
- 214
- 264
Kwa taarifa yako mahuza ni moto wa kuotea mbaliNimetafakari sana jambo hili baada ya kupitia taarifa za yule mkurya wa Musoma aliyefisadi mradi wa maji Bunda pamoja na Musoma hotel. Nikasikia kuwa eti huyio fisadi ni mfadhili wa CCM huko " kijijini" Musoma ndio maana anaogopwa hata na vyombo muhimu. Najiuliza ilikuwaje mkurugenzi wa zamani wa Takukuru alisimamia kesi ya Mramba na Yona kwa ufanisi tena bila woga hadi jamaa wakatupwa gerezani?.....Haiwezekani kukopa mikakati na ujasiri wake hata kama alikuwa na mapungufu mengine? Naomba niishie hapo!
Hata hiyo iliyofanyika ni geresha tu kumnyang'anya hiyo musoma hotel
Mahuza ndie aliemchomoa bwana slow slow kwenye ukuu wa wilaya,,,kisa ni mgodi wa CATA MINE kule kiabakari
Weka mbali na watoto