Dr. Hon. Tundu Lissu presentation: PARAMOUNT ISSUES FOR CONSIDERATION IN THE CONSTITUTIONAL REVIEW

kusoma kwenyewe hata magazeti ya maana shida
lakini ya udaku watu watasoma ahdi nukta.
Bila kusoma hatuwezi kuwa na fikra mbadala tutabaki wadangayika huku tukilalamika kila kukicha

Basi issue hapa si kusoma bali ni kipi cha kusoma!!
 
naamini unafahamu maana ya 'summary', 'executive summary', 'synopsis', 'a nutshell', 'conciseness'. Kama wewe umesoma kweli basi tuweke hizo key messages!
hakunaa, soma yote, hiki sio kikao cha bodi haya ni masuala ya kitaifa, msomi kama wewe ukishasoma ndio unapeleka hizo 'summary' kijijini kwa wasiosoma ili waelewe kwa urahisi!
Mbona mkiona vichwa vya vya habari "Diamond afumwa laivu", "wema sepetu afanyiwa kitu mbaya" na mipicha mikuubwa ya front page mnanunua gazeti haraka haraka msome zaidi? Kwa nini msiridhike na 'summary' mkaendelea zenu?
 
hakunaa, soma yote, hiki sio kikao cha bodi haya ni masuala ya kitaifa, msomi kama wewe ukishasoma ndio unapeleka hizo 'summary' kijijini kwa wasiosoma ili waelewe kwa urahisi!
Mbona mkiona vichwa vya vya habari "Diamond afumwa laivu", "wema sepetu afanyiwa kitu mbaya" na mipicha mikuubwa ya front page mnanunua gazeti haraka haraka msome zaidi? Kwa nini msiridhike na 'summary' mkaendelea zenu?

Sasa tuione basi hiyo summary uliyoandaa kwa ajili ya watu wa kijijini. Hivi nani kakuambia vijijini hakuna wasomi?
 
huyo ni kama wale waliopokea muungano bila legal au official document,anatia huruma sana
 
Kwani hao wengine mliowapachika U-Dr mlitumia vigezo gani ambavyo Lissu hawezi kuwa navyo, kama sio kawazidi?
 
ingekuwa ni vizuri kutuwekea basi hata hiyo controversy kwenye mistari miwili mitatu badala ya kutubwagia mi-document mirefu kama gazeti la The Guardian la UK!

Kakak rudi shule kajifundishe kusoma king'eng'e,kwa kupenda "mistari miwili" hayo yanayowakuta wanasiasa wetu wanakuwa wavivu wa kusoma matokeo yake wanashidwa kutoa au kujibu hoja,
 
ingekuwa ni vizuri kutuwekea basi hata hiyo controversy kwenye mistari miwili mitatu badala ya kutubwagia mi-document mirefu kama gazeti la The Guardian la UK!

Yale yale, watanzania tunasifiwa kwa uvivu wa kutosoma! Umeridhihirisha hilo kwa ufasaha mzuri!
 
Thank you for posting this! This reminds of the thoughts-laden discourses of the early 1970s by the likes of Samwel Mushi, the Shivjis, the exiled Ugandans- Nabudere? Walters and the Sitholes from Zombabwe! You even enjoy reading the discourses as they are not about personalities but abut ideas conceptualized both in the context and out of the dialects of historical materialism. And one can easily understand why the debate in the CA is being deliberately skewed to a particular stand. Lissu says it all- those purporting to be Nyerereists oblivious of the fact were Nyerere to reappear, he would have certainly distanced himself from these historical sins, and would exonerate himself by declaring what he once said in 1968- that let the people decide on whether or not the union matters to them.

thank you again, it was refreshing to read Lisu, and woe to Prof Wambali for not coming out straight on matters that were so clear!
 
Dear Board Members,

I beg to share with you this discussion Paper by Dr. Hon. Tundu Lissu (MP) as presented at the Half Annual General Meeting of the Tanganyika Law Society Held at the Arusha International Conference Centre, Arusha, Tanzania, 31st August – 1st September, 2012.

Dr. Lissu also referred a controversial decision in his presentation and has asked members to circulate as widely as possible so that every one of us can be able to see and judge by his/her brain on what has been aired out regarding the weakness of our Judicially and appointed judges.

Ukisoma ruling ya Twalib unaona kabisa kuwa huyu alipata kitu kidogo kutoka kwa Mohamed. hata mwanafunzi wa shberia wa mwaka wa kwanza ambaye amepitia civil procedure, hawezi fanya makosa kama hayo, sembuse daktari wa sjeria! Kweli nchi hii. Lakini majaji nawashukur wamenzodoa sana kama ataisoma judgement yao kuna kitu atajifunza, labda kwa vile watanzania tumekufa akili
 
Back
Top Bottom