Dr. Hilderbrand Shayo: Mhadhiri Mwandamizi Chuo Kikuu Huria cha Tanzania

Mwanamalundi

JF-Expert Member
Aug 30, 2007
3,125
1,432
Habari zilizojiri jijini Dar es salaam ni kwamba Dr.Shayo ameanza rasmi kumwaga lecture kama mhadhiri mwandamizi wa uchumi, chuo kikuu huria cha tanzania. Hongera sana Dr.Shayo. Nchi inahitaji wazalendo wenye moyo kama wewe. Tunakutakia kila jema, katika majukumu yako ya kuelimisha taifa letu changa.
 
Naomba kidogo maelezo kidogo juu ya huyu jamaa kuwa ni nani maana umekuja na habari kidogo na amefanya nini katika Taifa letu??
 
Naomba kidogo maelezo kidogo juu ya huyu jamaa kuwa ni nani maana umekuja na habari kidogo na amefanya nini katika Taifa letu??

Ni miongoni mwa watanzania wachache sana waliobobea katika fani ya uchumi. Amefundisha pamoja na kufanya tafiti mbalimbali za uchumi nchini uingereza kati ya mwaka 2000 hadi 2009, katika chuo kikuu cha south bank kilichopo jijini london. Amejikita zaidi katika fani ya resource economics.
 
Ni miongoni mwa watanzania wachache sana waliobobea katika fani ya uchumi. Amefundisha pamoja na kufanya tafiti mbalimbali za uchumi nchini uingereza kati ya mwaka 2000 hadi 2009, katika chuo kikuu cha south bank kilichopo jijini london. Amejikita zaidi katika fani ya resource economics.
Mimi ni moja ya masomo yangu ambayo nasoma pia kama ndiyo hivyo basi itakuwa safi sana kama akienda kufundisha university of Dodoma, na pia alikuwa huko, kuna kipindi fulani alikuwa anajadiliwa humo ndani ya JF ndio yeye okay
 
Thats very good.

Hivi jamaa amesoma wapi degree zake?

Jamani nauliza maana siku hizi Tanzania tunadanganywa sana na "hawa wasomi waliobobea". Wanaenda wanadaka degree zao kwenye vyuo vya "voda fasta" wanakuja kama ma-dr kushape sera za nchi yetu kama akina Nagu na Nchimbi. Ofcourse..once beaten..twice shy.

So wenye CV ya huyu daktari aliyebobea..waimwage hapa!

Masanja,
 
Habari zilizojiri jijini Dar es salaam ni kwamba Dr.Shayo ameanza rasmi kumwaga lecture kama mhadhiri mwandamizi wa uchumi, chuo kikuu huria cha tanzania. Hongera sana Dr.Shayo. Nchi inahitaji wazalendo wenye moyo kama wewe. Tunakutakia kila jema, katika majukumu yako ya kuelimisha taifa letu changa.
Jambo jema kurejea nyumbani kuja kuendelezaa vizazi kupitia elimu. Natumai OUT na wasomi wa Tanzania watafaidi mchangoo wako katika kukuza elimu nchini
 
Hivi Dr wa Engineering afundishe Economics halafu aitwe Gwiji mh!!! nashaka nae maana sijapata paper yake hata moja au kwa kuandika katika michuzi blog ameshakuwa gwiji ama kweli bongo tambarare!!!
 
Thats very good.

Hivi jamaa amesoma wapi degree zake?

Jamani nauliza maana siku hizi Tanzania tunadanganywa sana na "hawa wasomi waliobobea". Wanaenda wanadaka degree zao kwenye vyuo vya "voda fasta" wanakuja kama ma-dr kushape sera za nchi yetu kama akina Nagu na Nchimbi. Ofcourse..once beaten..twice shy.

So wenye CV ya huyu daktari aliyebobea..waimwage hapa!

Masanja,

Wewe mchokozi masanja kwanini usigoogle au kutumia search engine zenginezo kupata detail za huyu jamaa mie nimekuta jamaa yupo London South Bank University anafundisha department of engineering. Sitaki katika hoja ya hadhi ya chuo naogopa wapenzi wake wasije kunimeza but in short it is a bit suspicious chuo hata katika rankings kinashika mkia in UK.

Mgoogle jamaa unaweza kubahatika kupata paper yake moja ya economics
 
Ni miongoni mwa watanzania wachache sana waliobobea katika fani ya uchumi. Amefundisha pamoja na kufanya tafiti mbalimbali za uchumi nchini uingereza kati ya mwaka 2000 hadi 2009, katika chuo kikuu cha south bank kilichopo jijini london. Amejikita zaidi katika fani ya resource economics.

Naomba unifahamishe Mkuu,

Kuna kazi yake yoyote aliyofanya iliyowahi kuwa published kwenye anga za kimataifa??
 
Naomba unifahamishe Mkuu,

Kuna kazi yake yoyote aliyofanya iliyowahi kuwa published kwenye anga za kimataifa??

Amepublish katika You Tube, Michuzi na magazetini!!!! hehehehehe:) Tanzania bwana inafurahisha sana Bongo Tambarare bwana:cool: Kwanza jamaa ni Senior Research Fellow meaning that anafanya utafiti hapo South Bank na si lecturer inawezekana part ya contract yake afundishe hapo chuoni. Sasa inaelekea mshkaji anatafuta ajira bongo ikiisha contract ndio maana yupo busy michuzi na you tube na katika magazeti ajulikane
 
Ni miongoni mwa watanzania wachache sana waliobobea katika fani ya uchumi. Amefundisha pamoja na kufanya tafiti mbalimbali za uchumi nchini uingereza kati ya mwaka 2000 hadi 2009, katika chuo kikuu cha south bank kilichopo jijini london. Amejikita zaidi katika fani ya resource economics.

Nina wasi wasi!
Nime-google jina lake simuoni, badala yake naona mambo ya majadiliano na critics juu yake.

Kama amebobea lazima awe anaandika kazi za kitaalamu na tunahitaji kuona machapisho yake ktk web.

HATUMUONI!!!
 
Amepublish katika You Tube, Michuzi na magazetini!!!! hehehehehe:) Tanzania bwana inafurahisha sana Bongo Tambarare bwana:cool: Kwanza jamaa ni Senior Research Fellow meaning that anafanya utafiti hapo South Bank na si lecturer inawezekana part ya contract yake afundishe hapo chuoni. Sasa inaelekea mshkaji anatafuta ajira bongo ikiisha contract ndio maana yupo busy michuzi na you tube na katika magazeti ajulikane

Dr Shayo amejitahidi sana kufika hapo alipo...sina lolote negative la kusema juu yake.

Ninacho kiona cha upuuzi ni mtu kuja hapa na kusema Dr H. Shayo ni Mchumi ALIYEBOBEA. Iwapo Tanzania "LEO" tunamuona Dr Shayo ni mchumi aliyebobea basi huko tuendako kunatia wasiwasi sana. Dr amejitahidi, na sipendi kumfananisha na yoyote yule ila bado hajastahili title ya "MCHUMI ALIYEBOBEA". Bado labda miaka ijayo.

Otherwise, nampa hongera sana kwa kupeleka mchango wake kunakohusika Tanzania.
 
Amepublish katika You Tube, Michuzi na magazetini!!!! hehehehehe:) Tanzania bwana inafurahisha sana Bongo Tambarare bwana:cool: Kwanza jamaa ni Senior Research Fellow meaning that anafanya utafiti hapo South Bank na si lecturer inawezekana part ya contract yake afundishe hapo chuoni. Sasa inaelekea mshkaji anatafuta ajira bongo ikiisha contract ndio maana yupo busy michuzi na you tube na katika magazeti ajulikane

Hahahahah ama kweli duniani kuna mambo. Mkuu unaamanisha PUBLICATIONS KAMA HIZI HAPA CHINI?
http://www.youtube.com/user/hildebrandshayo
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=GhhdzSHcf5I"]YouTube- Chagga wedding storm London in 2009[/ame]
 
Hahahahah ama kweli duniani kuna mambo. Mkuu unaamanisha PUBLICATIONS KAMA HII HAPA CHINI?
YouTube- Chagga wedding storm London in 2009

Ndio mchumi wetu aliyebobea ah bongo tambarare bwana Profesa Baregu hana maana wanamuona wakati yule ndio anaitwa mtu aliyebobea. Shayo ndio mchumi aliyebobea huoni ni kituko hicho? Publication wapi you tube, michuzi na magazetini!!!

Anyway best wishes mshkaji ndio tanzania yetu hiyo!!!! kizunguzungu tu
 
Unaweza kuwa umesoma injinia na ukawa unafundisha Economics jaribu kutazama vyuo mbalimbali kuna wachumi ambao degree zao za kwanza zilikuwa ni applied science na sasa wanafundisha economics
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom