ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,017
- 7,220
1. Huwezi kuwa mzalendo halafu ukajuta kuwa Mtanzania. Sentensi hizo zinakinzana.
2. Kwenye mgogoro wa THI na NSSF, Dr. Masau ndio mwenye makosa. Pesa alizokuwa analipia pango zilikuwa zinatoka kwa wafadhili Ujerumani. Wafadhili hao walikataa kuendelea kutoa pesa baada ya Dr. Masau kutokutekeleza wajibu wake wa kupanga kwenye jengo linalokidhi viwango walivyokubaliana. Matokeo yake akakosa pesa zza kulipa pango. Ukishidhwa kulipa pango unatolewa kwenye jengo, its that simple.
3. NSSF siyo charity organisation. Wanahitaji lile jengo kwa ajili ya uwekezaji.
4. Dr. Masau asitafute wa kumlaumu kwa sababu tatizo kubwa ni kwamba alikuwa NAIVE na akawa anatuymia theory kuliko uhalisia. Sasa uhalisia anaujua, so atafute tena definition ya uwezo wake.
5. Kulikuwa na mkataba kuwa serikali imshaidie kuendesha hiyo hospitali tangu kipindi cha Anna Abdallah kama waziri wa afya, lakini Masau alikataa vipengele vinavyompunguzia nguvu za maamuzi. Sasa ana nguvu zote za kuamua anachotaka, asimlaumu mtu kwa sababu kwake yeye nguvu za maamuzi zilikuwa muhimu kuliko huduma kwa wagonjwa.
2. Kwenye mgogoro wa THI na NSSF, Dr. Masau ndio mwenye makosa. Pesa alizokuwa analipia pango zilikuwa zinatoka kwa wafadhili Ujerumani. Wafadhili hao walikataa kuendelea kutoa pesa baada ya Dr. Masau kutokutekeleza wajibu wake wa kupanga kwenye jengo linalokidhi viwango walivyokubaliana. Matokeo yake akakosa pesa zza kulipa pango. Ukishidhwa kulipa pango unatolewa kwenye jengo, its that simple.
3. NSSF siyo charity organisation. Wanahitaji lile jengo kwa ajili ya uwekezaji.
4. Dr. Masau asitafute wa kumlaumu kwa sababu tatizo kubwa ni kwamba alikuwa NAIVE na akawa anatuymia theory kuliko uhalisia. Sasa uhalisia anaujua, so atafute tena definition ya uwezo wake.
5. Kulikuwa na mkataba kuwa serikali imshaidie kuendesha hiyo hospitali tangu kipindi cha Anna Abdallah kama waziri wa afya, lakini Masau alikataa vipengele vinavyompunguzia nguvu za maamuzi. Sasa ana nguvu zote za kuamua anachotaka, asimlaumu mtu kwa sababu kwake yeye nguvu za maamuzi zilikuwa muhimu kuliko huduma kwa wagonjwa.