Emmanuel Nchimbi alipokuwa mkuu wa wilaya ya Bunda-Mara alijipa ujiko na kuipa shule ya sekondari jina lake akiongeza na Title ya Udaktari feki wake.
Jina shule bado linaitwa Dr.Nchimbi sasa hatuwezi kufanya mpango wa kubadili jina la shule ile? Vijana wanaosoma shule hiyo wakisoma kitabu hiki cha Msemakweli wanaweza kuathirika kisaikolojia.
Vyeti vyao vitakuwa na jina ambalo limejipachika hadhi isiyo yake tena ya kitaaluma. matokeo ya kidato cha nne mwaka huu ya shule hiyo ni mabaya sana. na kusikika kwa habari hizo ndio kutazidisha kufanya matokeo yawe mabaya zaidi.
Tufanyanye nini huko Bunda?
Jina shule bado linaitwa Dr.Nchimbi sasa hatuwezi kufanya mpango wa kubadili jina la shule ile? Vijana wanaosoma shule hiyo wakisoma kitabu hiki cha Msemakweli wanaweza kuathirika kisaikolojia.
Vyeti vyao vitakuwa na jina ambalo limejipachika hadhi isiyo yake tena ya kitaaluma. matokeo ya kidato cha nne mwaka huu ya shule hiyo ni mabaya sana. na kusikika kwa habari hizo ndio kutazidisha kufanya matokeo yawe mabaya zaidi.
Tufanyanye nini huko Bunda?