johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,532
- 141,335
Kuna mjadala wa jinsi ya kujikinga na virusi vya Corona unaendelea muda katika luninga ya Channel Ten.
Mtaalamu Dr Elly Josephat kutoka MAT anasema kuvaa maski kwa mujibu wa maagizo ya WHO ni kwa wale wanaohudumia waathirika na wale wanajishuku au kuhisi kuwa wameathirika.
Na kuna jinsi ya kuvaa hizi maski, kama wewe unamhudumia muathirika ule upande wenye rangi ya blue ambao ndio una dawa unakuwa nje na kama wewe ni muathirika upande wenye rangi ya blue unakuwa ndani ili pumzi au sauti inapotoka tu inakutana na dawa kinga.
Source: Channel Ten
Mtaalamu Dr Elly Josephat kutoka MAT anasema kuvaa maski kwa mujibu wa maagizo ya WHO ni kwa wale wanaohudumia waathirika na wale wanajishuku au kuhisi kuwa wameathirika.
Na kuna jinsi ya kuvaa hizi maski, kama wewe unamhudumia muathirika ule upande wenye rangi ya blue ambao ndio una dawa unakuwa nje na kama wewe ni muathirika upande wenye rangi ya blue unakuwa ndani ili pumzi au sauti inapotoka tu inakutana na dawa kinga.
Source: Channel Ten