DR Congo: Rais Tshisekedi aamua kuvunja Serikali ya Muungano

Mgawanyiko unazidi kuongezeka miongoni mwa wabunge wa Kabila na wa Tshekedi.

Ushirika wa wachawi haudumu, Felix aliingia madarakani kwa mbeleko ya Kabila ila sasa anataka kuichana.

Huenda aliyeshinda kihalali alikuwa Martin Fayulu ila aliporwa ushindi na karma inawatafuna waporaji.
Khs Fayulu kuchakachuliwa hio ndio ilifanyika mchana kweupe.

Lkn naona Tshisekedi ni rais mzuri ni vile tu haya mambo ya ushirika na Kabila(mwenye majority) yanampa shida sana.
 
Alikuwa anajua hilo toka siku ya kwanza 'anawekwa' madarakani.

Now he thinks he is the actual President of DRC because all government's armed men sulutes him as chief in command!!
Let him get what he wants.

Ningekuwa Mimi ndiyo yeye ningejiimarisha taratibu kwenye vyombo vyote vya dola kwa muhula wa kwanza kisha unamtosa Joseph Kabila na wapambe wake wote awamu ya pili wakiwa hawana nguvu kwenye serikali na majeshi.
Na kabila anaangalia kwa ukaribu pia maslahi yake yakiguswa kidogo ataibuka
 
Na kabila anaangalia kwa ukaribu pia maslahi yake yakiguswa kidogo ataibuka
Kabila anaonekana zake Kinshasa siku hizi anazunguka mjini na mapikipiki ya Harley Davidson na gangs wake.

Labda makubaliano ya kwamba maslahi ya Kabila yataendelea kulindwa yaliyosimamiwa na Kenyatta,Al-sisi,Ramaphosa yataendelea kuzingatiwa.
 
Kabila anaonekana zake Kinshasa siku hizi anazunguka mjini na mapikipiki ya Harley Davidson na gangs wake.

Labda makubaliano ya kwamba maslahi ya Kabila yataendelea kulindwa yaliyosimamiwa na Kenyatta,Al-sisi,Ramaphosa yataendelea kuzingatiwa.
Si-nina sikia now amekimbia Nchi !?
 
Back
Top Bottom