DR Congo: Mgombea wa upinzani, Felix Tshisekedi ashinda Urais. Mgombea mwenza apinga matokeo hayo

Sijaona tamko lolote toka kwa Zito wa ACT wala Mashinji katibu mkuu wa Chadema wakimpongoza mpinzani kushinda urais Congo!

Kumbe mlitaka chama tawala kiendelee kutawala Congo?



Sent using Jamii Forums mobile app
Usiwe unaandika bila uhakika sana sana utaonekana mwendawazimu!Kaangalie tweet ya Zitto!
Lumumba full mihemko!

Tweet ya Zitto!

My heartly and comradely congratulations to UDPS ( and UNC of @VitalKamerhe1 ) and @fatshvit for their victory in DRC #DRCElections It is my appeal to the Congolese people to remain calm in this first ever peaceful transfer of power since independence of Congo.
 
Mimi nimezianza Balimi asubuhi tu!..Walinza Zambia wakaja Malawi Kenya nao ikafuatia DRC nayo hiyo sasa ni Zamu yetu.
 
Usiwe unaandika bila uhakika sana sana utaonekana mwendawazimu!Kaangalie tweet ya Zitto!
Lumumba full mihemko!

Tweet ya Zitto!

My heartly and comradely congratulations to UDPS ( and UNC of @VitalKamerhe1 ) and @fatshvit for their victory in DRC #DRCElections It is my appeal to the Congolese people to remain calm in this first ever peaceful transfer of power since independence of Congo.
Mbona mnapongezana kiunyonge sana?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahaaaa,ndoto zako na zitimie!Gonga balimi 4,nikipandishwa daraja la mshahara nitakutoa!
Siku ya Kuapishwa Lissu lazima ninywe kwa utulivu..halafu niwaige Less Wanyika:Sina makosawee bwanaa Ikulu si yaaako wala si yaangu risasi za nini kati yangu wewe na mimi×2

Halafu naongeza Balimi nyingine hahahahaha!!
 
Siku ya Kuapishwa Lissu lazima ninywe kwa utulivu..halafu niwaige Less Wanyika:Sina makosawee bwanaa Ikulu si yaaako wala si yaangu risasi za nini kati yangu wewe na mimi×2

Halafu naongeza Balimi nyingine hahahahaha!!
Umetisha kwa mistari murua kabisa,WCB hawaoni kipaji hiki?
 
Miafrika ndivyo ilivyo mkuu Nyani Ngabu. Yaani Kabila ameona kuwa kibaraka wake hakubaliki ameamua kuingia makubaliano na Tiseshekedi ili atawale kupitia kwake. Hii mijitu ya rangi nyeusi haiwezi kujitawala kamwe. Bora tu wazungu warudi kuja kututawala, hakuna namna.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wamegombea CCM, CDM, ACT, CUF etc. Ameshinda CUF halafu CDM wanapinga matokeo! Hehehe kabila! kabila!
 
Raia na Wana Siasa mjizuie kuichafua DRC ni yenu wote ,Kumbukeni mlikopitia Hadi uchaguzi huu ,Msipojizuia Kilio na Maombolezi na Majuto ya Maumivu ni yenu wenyewe kwa Nchi zingine nj hadithi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom