King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,603
- 68,514
Kabisa.
Kabisa.
WatamLumumba naye maana wale ndo zao.Ila Tshisekedi inatakiwa awe makini sana hawakawii "KUM LAURENT KABILA"
Wewe haujui siasa kaa kimya,Kuhusu impact ya uchaguzi wa 2010 Dr slaa na 2015 lowassa waulize SISIEMU wanajua.Hamna lolote wapinzani wa Tanzania hawajielewi njaa tu zinawasumbua nikikumbuka chadema kumuondoa Silaha ktk kugomea uraisi na kumuweka lowasa sipati jibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha upuuzi RC Tanzania imepora ardhi ya Nani? Wakati kuna wilaya fulani maafisa ardhi wamepima viwanja na kuviuza ilihali eneo ni la kanisa.Nguvu ya kanisa ka roman katoliki ndiyo hii
Walisema mshindi wanamjua na kweli katangazwa
Kwa Tanzania kanisa limebaki kuchukua sadaka tu ili migogoro iliyonayo na wananchi ya upokonyaji ardhi ilindwe
Sasa kama wapinzani wana njaa.na siyo tishio, ni kitu gani kinachofanya CCM kiizuie vyama vya upinzani visifanye mikutano ya kisiasa hadi mwaka 2020??Hamna lolote wapinzani wa Tanzania hawajielewi njaa tu zinawasumbua nikikumbuka chadema kumuondoa Silaha ktk kugomea uraisi na kumuweka lowasa sipati jibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Utajuaje iwapo hata ukuu wa Mkoa au wilaya hawapewi nafasi? Mjaji mtu baada ya kumpa kazi akashindwa.Inawezekana hayo unayosema lakini ktk vyama vya upinzani sijaona wa kuongoza nchi ndugu
Hakika.tofauti na Tanzania, tume ya uchaguzi DRC inao ujasiri wa kutangaza matokeo halisi, hapa kwetu hatuna tume, ni genge la CCM likishirikiana na usalama wa CCM kujifanya wanajua sana kilicho chema kwa nchi kuliko hata wenye nchi yao. Pumbavu sana hawa watu