King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,670
- 68,628
Mkuu nani aliyekwambia TZ huwa wapinzani wanashindwa UCHAGUZI? Uchaguzi 2015 waambie CCM wanajua walichofanya!!
Ni kweli mkuu na matokeo yamekuja kwa kushitukiza kwani watu wengi hawakutegemea kwa CENI kuweza kutangaza matokeo ya kweliOpposition named winner in DR Congo poll
Mgombea urais wa upande wa upinzani huko Congo-Kinshasa, Bw. Felix Tshisekedi ametangazwa kuwa ndiye mshindi wa kiti cha urais na tume ya uchaguzi ya nchini humo, CENI.
Hii ni habari mpya kabisa kwa hiyo taarifa zaidi zitafuatia.
Ila nahisi kama chama tawala hakitokubali matokeo. Nahisi tu.
Tusubiri tuone....
Tukifanya leo free and fair election, uyu jiwe hata namba tatu (3) hakamati, na analijua hilo ndio maana anawaogopa sana wapinzani.Mkuu nani aliyekwambia TZ huwa wapinzani wanashindwa UCHAGUZI? Uchaguzi 2015 waambie CCM wanajua walichofanya!!
Kabila keshafanya mpango na Felix Tshisekedi kumsukuma Fayulu pembeni (amabye ndiye anaungwa mkono na kanisa katoliki). Fayulu kanyang'anywa mkate hapo.
Tunachohitaji Tanzania sasa hivi ni kupeleka muswada Bungeni utakaopelekea nchi kupata Tume Guru ya Uchaguzi. Hii nchi siyo ya CCM, CHADEMA, ACT Wazalendo, CHAUMA, TLP, NCCR Mageuzi nk. Nchi hii ni ya Watanzania tuwape Watanzania haki yao kupitia Tume Huru ya Uchaguzi.
HABARI
- Matokeo ya Uchaguzi : Tshisekedi Rais-mteule wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC)
Tshisekedi achaguliwa Rais wa DRC
dakika 14 zilizopita
Rais mteule Felix Tshisekedi
Shirikisha
Ona maoni
Mgombea wa upinzani Felix Tshisekedi ameshinda uchaguzi wa rais nchini Jamhuri ya Kidemokrasia wa Congo uliokuwa una ushindani mkubwa, tume ya uchaguzi imesema Alhamisi.
Matokeo ya awali yameonyesha kuwa yeye anaongoza katika kinyang’anyiro hicho dhidi ya mgombea wa upinzani Martin Fayulu, na yule wa muungano wa chama tawala Emmanuel Shadary.
Atakapo thibitishwa, Tshisekedi atakuwa mshindani mpinzani wa kwanza kushinda tangu Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kupata uhuru.
Rais Joseph Kabila anaachia madaraka baada ya miaka 18 ya uongozi wake.
Alikuwa ameahidi kuwepo kubadilishana madaraka kwa njia ya utulivu DRC tangu nchi hiyo kupata uhuru wake kutoka Ubelgiji 1960.
Tanzania inahitaji tume huru
Mgombea wa chama tawala kawa mshindi wa 3 no one was expected - ogopa sana wananchi watakaposema basi inatosha!
Ni kweli mkuu na matokeo yamekuja kwa kushitukiza kwani watu wengi hawakutegemea kwa CENI kuweza kutangaza matokeo ya kweli
Felix Tshisekedi mpaka sasa amepata asilimia 38.57.CENI wana sema Felix kapata kura milioni saba wakati Martin Fayulu kapata kura milioni 6.4 na Shadary kapata kura milioni 4.4
Kabisa SISIEMU wanabebwa na mfumo ,yaani msimamizi wa UCHAGUZI ni Pure mwanachama wa SISIEMU,Mwenyekiti wa NEC anatueliwa na Mwenyekiti wa SISIEMU,Wafanyakazi wa TUME wote SISIEMU,hapo unategemea nini? Policcm nao hawako nyuma!Tukifanya leo free and fair election, uyu jiwe hata namba tatu (3) hakamati, na analijua hilo ndio maana anawaogopa sana wapinzani.
Kiukweli ni aibu kubwa kwa nchi yetu kufundishwa Demokrasia na nchi Congo
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana hayo unayosema lakini ktk vyama vya upinzani sijaona wa kuongoza nchi nduguTukifanya leo free and fair election, uyu jiwe hata namba tatu (3) hakamati, na analijua hilo ndio maana anawaogopa sana wapinzani.
Kiukweli ni aibu kubwa kwa nchi yetu kufundishwa Demokrasia na nchi Congo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha bwana! Unataka kusema ni kama Dovutwa ila mbwembwe tuu?Tukifanya leo free and fair election, uyu jiwe hata namba tatu (3) hakamati, na analijua hilo ndio maana anawaogopa sana wapinzani.
Kiukweli ni aibu kubwa kwa nchi yetu kufundishwa Demokrasia na nchi Congo
Sent using Jamii Forums mobile app
Walipiga Bao La Mkono,Mkuu nani aliyekwambia TZ huwa wapinzani wanashindwa UCHAGUZI? Uchaguzi 2015 waambie CCM wanajua walichofanya!!
Si juzi waliombewa waendelee kupigina ili tuuze nafaka kwa wingi Mungu ni mwema na hawatapigana bali watapatana na kulijenga taifa lao. Amani umoja na mshikamano ukidumu miongoni mwao kwetu sisi ni fursa nzuri ya biashara tena biashara halali iliyokuwa na baraka za Mungu.Tukifanya leo free and fair election, uyu jiwe hata namba tatu (3) hakamati, na analijua hilo ndio maana anawaogopa sana wapinzani.
Kiukweli ni aibu kubwa kwa nchi yetu kufundishwa Demokrasia na nchi Congo
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh inamaana mswada huo anapelekewa ndg Job kikaragosi chake jiwe?? Siungi mkono option hii nadhan organisers if they are available waandae other approachTunachohitaji Tanzania sasa hivi ni kupeleka muswada Bungeni utakaopelekea nchi kupata Tume Guru ya Uchaguzi. Hii nchi siyo ya CCM, CHADEMA, ACT Wazalendo, CHAUMA, TLP, NCCR Mageuzi nk. Nchi hii ni ya Watanzania tuwape Watanzania haki yao kupitia Tume Huru ya Uchaguzi.