Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,224
- 6,467
Mwanzo ulituaminisha Shadari anashindaHahahaha, Mkuu hii ndio raha ya JF , [ avatar na ID ]
muhimu hatutoki nje ya Mada
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanzo ulituaminisha Shadari anashindaHahahaha, Mkuu hii ndio raha ya JF , [ avatar na ID ]
muhimu hatutoki nje ya Mada
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanzo ulituaminisha Shadari anashinda
Huyu ndie wakatoliki walikua wanamtaka?
HahahahaMabeberu na lile kanisa lao wana lizungumziaje hili??
Hongera Tshisekedi...
Wabongo tunaongoza kwa kumiliki viwanda vya uongo-Kikwete.master plan alikuwa ni mzee kahange anaishi kichwere pale kigoma gungu huwa anajifanya ni fundi mbao lkn ni jasusi hatari wa kabila yeye ndio kiungo kati ya drc na tz kwenye mishe za kijasusi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, naomba nikusalimie kiongozi WanguWabongo tunaongoza kwa kumiliki viwanda vya uongo-Kikwete.
Chai ya moyo bila vitafunwa sio poa.
Hahah salama kabisa kiongozi.
Hahah salama kabisa kiongozi.
Naona mzee baba ashapitishwa tayari.
Na una guess nani atakua PM mkuu?Yes kapewa nchi bado kuapa tu nadhani kesho anaapa rasmi
Sasa kazi ipo kwa chama cha Kabila kutoa jina la PM
Sent using Jamii Forums mobile app
Asee, hii Draft inayochezwa si mchezo ,nami najaribu kuona ni nani atapewa hy nafasiNa una guess nani atakua PM mkuu?
Kweli "jikoni" kumekua tait mkuu.Asee, hii Draft inayochezwa si mchezo ,nami najaribu kuona ni nani atapewa hy nafasi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah si unaona hata kunusa who's next tunashindwa mkuu.
Hahah si unaona hata kunusa who's next tunashindwa mkuu.
Hahah hamna noma mkuu,mpinzani ameitisha maandamano huko Congo,vp yana nguvu zozote?
Hahah hamna noma mkuu,mpinzani ameitisha maandamano huko Congo,vp yana nguvu zozote?
Aisee ndo basi tena,hopefully this time waCongo wameelewa kuacha kutumika na wanasiasa wkt kikinuka wao ndo wakimbizi.Hakuna lolote, maandamo yangekua na nguvu angetangazwa Shadary
Na kuwavunja nguvu timu Fayulu ,wamemvuta Kyungu wa Kumwanza ( baba wa Katanga ) Kinshasa kupewa somo, maana huyu ndio kichwa cha Moise na Fayulu kwa upande wa Katanga
Sent using Jamii Forums mobile app
KABILAAsee, hii Draft inayochezwa si mchezo ,nami najaribu kuona ni nani atapewa hy nafasi
Sent using Jamii Forums mobile app