zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 10,831
- 8,621
Kesho Dr Bujari anafanya mkutano mkubwa mjini Ngara! Kuwaeleza wananchi namana serikali yao ilivyo dhaifu na kuwa ukombozi pekee utatoka CHADEMA! Bujari aligombea Ubunge kwenye kinyanganyiro cha ndani ya ccccm 2010
note: tangu chitanda na mwenyekit wa singida wote std 7 na makamu said arfi ambaye ni f4, mpaka sasa madaktari 3 wameshajiunga chadema.
note: tangu chitanda na mwenyekit wa singida wote std 7 na makamu said arfi ambaye ni f4, mpaka sasa madaktari 3 wameshajiunga chadema.