mcfm40
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,452
- 3,150
Katika hali ya kushangaza Dr Bilali amewaangukia wana diaspora akiwaomba wawashawishi ukawa warejee katika bunge la katiba litakaporejea Mwezi wa nane.
Source: Mwananchi news allert
Huku chama kinasema hawatawabembeleza ukawa kurudi huku viongozi wa serikali ambao pia ni wa chama wakitafuta suluhu! Sasa ni wazi kwamba bila ukawa hakuna katiba mpya. la sivyo kungekuwa na sababu gani ya hawa viongozi kuhangaika na ukawa kiasi hicho? Cha ajabu hawasemi kwamba warudi ili wakajadili rasimu ipi: ya ccm au ya wananchi?
Ukawa kazeni buti hawa mainterahamwe karibia wananza kupata ufahamu! Go Go Mbowe, Lipumba, Mbatia. Ongezeni speed tupo nyuma yenu. Ama maoni ya wananchi yaheshimiwe au hakuna katiba. Ama zao ama zetu.
Msimamo thabiti ni muhimu katika swala hili nyeti kwa taifa letu! Na hii iwe fimbo ya kuwachapia uchaguzi mkuu wa mwakani!
Source: Mwananchi news allert
Huku chama kinasema hawatawabembeleza ukawa kurudi huku viongozi wa serikali ambao pia ni wa chama wakitafuta suluhu! Sasa ni wazi kwamba bila ukawa hakuna katiba mpya. la sivyo kungekuwa na sababu gani ya hawa viongozi kuhangaika na ukawa kiasi hicho? Cha ajabu hawasemi kwamba warudi ili wakajadili rasimu ipi: ya ccm au ya wananchi?
Ukawa kazeni buti hawa mainterahamwe karibia wananza kupata ufahamu! Go Go Mbowe, Lipumba, Mbatia. Ongezeni speed tupo nyuma yenu. Ama maoni ya wananchi yaheshimiwe au hakuna katiba. Ama zao ama zetu.
Msimamo thabiti ni muhimu katika swala hili nyeti kwa taifa letu! Na hii iwe fimbo ya kuwachapia uchaguzi mkuu wa mwakani!