Dr Benson Banna: Kweli CHADEMA sasa inakubalika sana...

Yule msomi na kiongozi wa REDET toka chuo kikuu cha DSM Dr Benson Banna hatimaye amekiri wazi kuwa CHADEMA sasa inakubalika.

Tofauti na kawaida ya Dr Banna kuonekana mara nyingi kulalia upande mmoja hasa wa CCM jana akiteta ofisini kwake, Dr Banna alisema wazi kwa mwenendo unavyoonekana na namna chama hiki kinavyoendelea kushika kasi kuna uwezekano mkubwa wa CHADEMA kushika dolla katika uchaguzi wa 2015.

Kama kitashikilia uzi na kuendelea kupambana kujenga mizizi hasa vijijini...

Nadhani hata mkuu wa kaya anakubaliana na hilo!
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom