Dr. Batilda Salha Buriani unayafanya haya kwanini?

Nakandamiza Kibara

Senior Member
Jul 17, 2007
143
10
Wakati Serikali inapiga kelele juu ya haki za watanzania wote bila kujali elimu zamu wala kimo,utajiri na rangi leo hii Waziri kama wewe unadiriki kuwatumikisha wasiachana kwa kitanzania kama watumwa hata kama kwao wana shida zilizo wafanya waishie kuomba kazi kwako .

Kwa yeyote mwenye ukaribu na Batilda naomba akamuulize haya maswali ili atuletee majibu hapa .

1.Mtumishi wake wa siku za karibuni aliyempata kupitia kwa rafiki zake wa Mbezi anaitwa Judith ni mtu wa Malawi aliingia Nchini kinyemela na data tunazo lakini sasa ni mtumishi wa ndani wa mheshimiwa huyu . Je Bi Salha kama unavyo jiita ama unavyo penda uitwe umemuombea kibali cha kazi Uhamiaji ?
a) Umempa mkataba wa kueleweka ?
b)Uhuru wake wa kuabudu siku ya Jumapili umempa?
c) Masaa ya kazi ni kama yako ama yeye ni hadi utakapo lala ndipo naye awe wa mwisho kulala na wa kuanza kuamka ?

2.Bi Salha imekuwaje wasichana wote wa kazi na vijana wote waliopitia kwako wanasema huambiliki na huna utu na mwisho unawaondosha bila ya malipo yao halali ?

Unaongea nini Bungeni nawe unatenda nini nyumbani tena bila ya huruma na kujitambua kwamba una wajibu wa kusimimia haki na ukumbuke kwamba mtoto wa mwanamke mwenzio pia ni mwanao kama huyu mwanao wa miaka karibia 3 uliye naye ?

Je unaweza kusema hapa juu ya haki za watumishi hawa ambao kwa mateso na manyanyaso yakiwemo ya kuwazuia ku practice imani yao kisa wewe ulibadili dini kuwa Muislam basi unatamka wazi wazi kwamba Wakristo si watu na walio watu wa dini hiyo kwako they should stop practising it wakiwa watumishi wako ?

Hebu tueleze ya wachache ya hawa ulivyo wanyanyasa na kuwalipa kiasu cha shiling 100,000 tena siku unapo wafukuza ama wanapo amua kuondoka siku ya mwisho maana huwalipi miashahara yao bali una limbikiza na mwisho unawazika?

Kuna huyu Tabu alitoka Morogoro kakimbia majuzi na malipo yamekuwa ya maajabu.
Jesca kaondoka majuzi kwa kero ya kumzuia kwenda Kanisani na hata kutaja Yesu akiwa katika eneo lako. Umemnyanyasa hadi kutishia kumpeleka polisi ?
Kuna Jamila,Esther Mlokole ambaye amepambana na kuwa mtiifu kwako lakini kashindwa kwa manyanyaso ?

Sasa kuna huyu Judith ambaye ameapa kwamba hata kwenda kanisani na sasa tunangoja kuona utafanya nini . Lakini kwa nini wewe ndugu waziri nawe uingie katika mkumbo wa kunyanyasa watumishi wako wa ndani na hata vijana wote wanakimbia ?Naomba unieleze juu ya Kibali cha Judith .Nauliza hivi nikiwa na data kibao ambazo nangoja ujibu hoja ama watu wako wakujibie nizimwage ili watanzania wakujue kwamba ni mtu mwenye chuki na hata wafanya kazi wenzio kiasi kwamba unaogopa hata kula chakula ofisini unaogopa kupewa sumu ukidai kwamba wanakuchukia . Jiulize kwa nini wanakuchukia kabla huja anza kuwa mtu wa vituko.
 
If at all the reporting is accurate,

Then shame, shame, shame

Kwa kiongozi anayetakiwa kuwa mfano kumtumia mtu asiye na "makaratasi" (in bongo, go figure) kama mfanyakazi wa nyumbani na bila shaka kumu-expoit kutokana na status yake kielimu na kiuhamiaji inadhihirisha sio tu ushahidi wa ukosefu wa utu, bali pia ni uvunjaji wa sheria ya nchi na maadili ya uongozi.

Tume ya viongozi imchunguze na kama ana mashtaka ya kujibu au faini ya kulipa ailipe.

Aelewe kuwa status ya uhamiaji au kukosa formal education siyo sababu ya kumnyanyasa mtu na yeye kuwa Waziri sio u demigod.
 
Mhh! Interesting! What happened to the saying "Do unto others as you would have them do unto you"?
 
HEBU NGOJA NIKACHUJICHULIE POPCORN MIE

hii itakuwa tamu zaidi weekend ikifika

presto-hot-air-popcorn-maker.jpg
 
Mungu Wangu Eeeh!!! Unajua Nilipoanza Kusoma Hii Thread Nilitaka Kuidis...but As I Read Nimedevolop Interest Ya Kujua Zaidi ...kulikoni??????? ..,.hii Ni Aiubu Kwa Taifa ...kuwa Na Viongozi Aina Hii ...ndio Maana Wakienda Nje Wanatuaibisha Kama Yule Afisa Ubalozi Marekani .....

Tuhuma Kuwa Mama Ni Mdini ...kiasi Hicho Ni Tuhuma Mbaya Sana...natamani Huyu Dada Batilda Kama Kuna Mtu Anajua Email Yake Amtumie Hii Page ..kwa Tuhuma Nzito Kama Hizi ...hata Kama Hatapenda Kujibu Kwa Jina Halisi ..lazima Ataingia Kwa Nick Name....

Inatia Shaka Serikali Kuwa Na Mawaziri Wadini Namna Hii ..ndio Maana Hawachelewi Kutoa Amri Za Kiutata Kama Ile Aliyotoa Hawa Ghasia Jana!!!
 
Duh, hii imekaa "ki-mikingamo" kichizi yaani.........lakini ktk bongo asilimia ngapi ya "mabaharia" wanapata treat na fair pay toka kwa waajiri wao??. Hii imekaa ki-personal sana, anyway labda ndio uwazi wenyewe huo.
 
Mungu Wangu Eeeh!!! Unajua Nilipoanza Kusoma Hii Thread Nilitaka Kuidis...but As I Read Nimedevolop Interest Ya Kujua Zaidi ...kulikoni??????? ..,.hii Ni Aiubu Kwa Taifa ...kuwa Na Viongozi Aina Hii ...ndio Maana Wakienda Nje Wanatuaibisha Kama Yule Afisa Ubalozi Marekani .....

Tuhuma Kuwa Mama Ni Mdini ...kiasi Hicho Ni Tuhuma Mbaya Sana...natamani Huyu Dada Batilda Kama Kuna Mtu Anajua Email Yake Amtumie Hii Page ..kwa Tuhuma Nzito Kama Hizi ...hata Kama Hatapenda Kujibu Kwa Jina Halisi ..lazima Ataingia Kwa Nick Name....

Inatia Shaka Serikali Kuwa Na Mawaziri Wadini Namna Hii ..ndio Maana Hawachelewi Kutoa Amri Za Kiutata Kama Ile Aliyotoa Hawa Ghasia Jana!!!


Hii inanikumbusha yule jamaa wa Ubalozi wetu DC, kesi yake iliishia wapi?
 
kaazi kweli, siku hizi nnaona huu udini umepaliliwa hapa ukumbini. haitimii siku tusikumbane na misuguano ya dini.

hivi mada hainogi mpaka tusukume huko au tukandamize kidini?
 
Ndugu wana ukumbi .Naomba hii mada iachwe hapa pamoja na maoni ya ndugu Kitila. haya si masimango na is not something too personal. At what degree you can name it personal ? Kuwatumikisha watu na kufikia kuwazuia watu kuabudu si personal wamemvumilia hadi yakatufikia ndiyo nampa salaam . Kuna mengi zaidi wamesema na wanazidi kusema . Mtu kumwajiri mtu kwa kumtumikisha haikubaliki tena kwa mtu mkiubwa kama yeye.

I demand answers as soon na mengi yanakuja kuhusiana huu upuuzi wa kushindwa kuwalipa watu haki zao kwa kufanya kazi kuanzia saa kumi na moja asubuhi bila ya kupumzika hadi saa sita usiku na kuwapa mwisho wa siku wakiwa wana ondoka shilingu laki moja .Je inaendana na taratibu za ajira ? Anashindwa nini kuwaona kama ni watu na kuwapa mikataba ?

Do not twist this please tunataka ukweli hapa .Mpelekeeni mwambieni sasa tunajua mengi maana hata baada ya kumbana Zitto Bungeni alihofia maisha akapewa ulinzi , inafikia hadi walinzi wale wanauliza watumishi kwamba nyie ni wanga hamlali mnafanya kazi usiku kucha mchana kutwa ? What is personal hapa sasa.
 
January 2008 inakuja tufuatilie kama atawalipa kima cha chini anachotaka bosi wake Kikwete.

Watu waliona January 2008 iko mbali kama millennia.
 
unatamka wazi wazi kwamba Wakristo si watu na walio watu wa dini hiyo kwako they should stop practising it wakiwa watumishi wako ?

Whaaat? Now I see kwa nini Sophia Simba, alimfukuza huyu mama kule kina mama, eti mnasema huyu mama ana dini? Dini ipi hiyo inayomruhusu kuingilia ndoa ya kiongozi mmoja mkubwa wa serikali yetu anayemkingia ubavu na aliyemuhamisha kule kwa Mama Simba?

Au anafikiri hatujui kuwa anajirusha na huyu kigogo? Jamani semeni mengine lakini sio ya dini na huyo mama, nasikia kutapika maana hana dini!
 
unatamka wazi wazi kwamba Wakristo si watu na walio watu wa dini hiyo kwako they should stop practising it wakiwa watumishi wako ?

Whaaat? Now I see kwa nini Sophia Simba, alimfukuza huyu mama kule kina mama, eti mnasema huyu mama ana dini? Dini ipi hiyo inayomruhusu kuingilia ndoa ya kiongozi mmoja mkubwa wa serikali yetu anayemkingia ubavu na aliyemuhamisha kule kwa Mama Simba?

Au anafikiri hatujui kuwa anajirusha na huyu kigogo? Jamani semeni mengine lakini sio ya dini na huyo mama, nasikia kutapika maana hana dini!

hii ndio jf jambo si jambo kwenye dini, ubaya wa mtu ni wake na siamini kama kweli anayafanya hayo anayafanya kwa misingi ya dini kama wanavyotaka watu tuamini.

tumjadilin yeye na anayoyafanya pasipo kuzidisha na kutaka kuleta fitna za kdini hapa

heko mzee ES heshima zangu kwako mkulu
 
mmh...mmmh talking of maadili ya viongozi. Hivi si kuna tume fulani official kwanini msitume "official letter"
kule??
.....wengine hawalipi bili za maji
.....wengine wametengeneza mashahidi "feki"
.....wengine wamevamia viwanja vya hospitali kujenga shule zao binafsi
....mradi vituko haviishi!
 
Mama Lao tume ipo kweli ila hiyo tume ipo neutral ndiyo wasiwasi. Maana na tume ipo chini ya shoga wake hawa ghasia. Ngoja wamkome hapa hapa pasipo na aibu.
 
Ilisemwa hapa kuwa mwaka huu tutaona mengi, bado siku 15 mwaka uishe na mambo ndo yanazidi kuwa mengi. Kazi ipo, viongozi wote uozo, hivi kweli nchi hii haina mtu msafi?
 
Ila JF kwa vigongo?
Angalieni msiwalaze watu mahospitalini kwa "high pressures"
au ndio kumkoma nyani??????????
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom