Uislam unafundisha kuishi vema na watu...Mzee ES kachangia vyema asichkuliwe huyu kuwa KIOO...Waislam wana KIOO chao...ila kwa kuwa hizi ni TUHUMA lazima zithibitishwe...na kama kweli muanzishaji mada yupo serious basi airushe Mahakamani kama ilivyofanywa kwa MAHITA..naona week end imeingia na hakuna proved DATA...lkn pia ipo haja ya kujiuliza ni wangapi wanawanyanyasa wafanyakazi wao ndani?...