masanjasb
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 2,364
- 864
Hata hivyo Batilda alitegwa na Ruto,baada tu ya kushikana mikono,mh Ruto alimuuliza balazo"Hujambo"bila kusita mama wa watu akijikitu kajibu jibu lilo sahihi kabisa kwa swali aliloulizwa"Sijambo,shikamoo"then wakacheka,Kwa siasa za kiafrica,cheo ni zaidi ya umri