johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,737
- 141,603
Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru amesema Tanzania haina dini bali watu wake ndio wenye dini hivyo amewaasa wanasiasa kuacha udini.
Dr Bashiru amesema Tanzania siyo ya waislamu au wakristo ila ni e watu wa dini zote.
Dr Bashiru ameyasema hayo katika mashindano ya kuhifadhi kuruani yaliyofanyika wilayani Kondoa mkoani Dodoma.
Source channel ten tv!
Dr Bashiru amesema Tanzania siyo ya waislamu au wakristo ila ni e watu wa dini zote.
Dr Bashiru ameyasema hayo katika mashindano ya kuhifadhi kuruani yaliyofanyika wilayani Kondoa mkoani Dodoma.
Source channel ten tv!