johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,898
- 141,829
Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru amesema swala la umoja ndani ya chama ni la lazima na mwanachama yoyote atakayekuwa na viashiria vya kutotaka umoja atafukuzwa chamani mara moja.
Ili kuwagundua wabinafsi Dr Bashiru amesema chama kitafuatilia mienendo ya wanachama wake na ikibainika unataka kutugawa Tutakutimua mara moja.
Dr Bashiru ameyasema hayo mjini Bukoba akiwa kwenye ziara ya kuimarisha chama.
Source Star tv habari!
Ili kuwagundua wabinafsi Dr Bashiru amesema chama kitafuatilia mienendo ya wanachama wake na ikibainika unataka kutugawa Tutakutimua mara moja.
Dr Bashiru ameyasema hayo mjini Bukoba akiwa kwenye ziara ya kuimarisha chama.
Source Star tv habari!