Ole
JF-Expert Member
- Dec 16, 2006
- 2,157
- 975
Sina popote ninapomzuia yoyote kujadili chama chochote, kiwe cdm au hata chama cha walemavu. Hili ni jukwaa huru, yoyote anaweza kujadili chochote, na ukipotosha tutakuambia acha kupotosha na utapata dozi stahiki.
Kwakweli sikukuu imeenda vizuri japo ukata uko palepale. Mwaka tunaungoja huenda hali ikawa afadhali kuliko mwaka huu. Nashukuru kwa salamu ya sikukuu!
Wacha Kamba mkuu wewe uwe na ukata, wacha waseme wengine maana darubini yangu imeona chupa za wine hapo kibao.