Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,794
- 71,212
- Thread starter
- #101
Alijieleza ukweli wake tukajua kuwa hao walioanza kumwita hivyo (dhana ya kujuvua gamba) walikuwa wazushi. Maana kama ingekuwa kweli na wao ndio wenye dola mbona hawajamshitaki hadi leo?Sasa wewe na Bashiru mna tofauti gani kiasi cha kumfungulia thread
Wewe mpaka July 2015 ulikua unaimba humu Lowassa fisadi,ukafanyiwa mazingaombwe ukawa unaimba mabadiliko
Na mwenyekiti wenu ambaye ni Rais pia alitudhibitishia kuwa Lowassa ni mtu safi kwa maneno aliyosema pale Ikulu alipomwita Lowassa ili amshawishi kurudi ccm. Jee wewe unapingana na mwenyekiti na Rais kuhusu usafi wa Lowassa? Kwa hiyo mimi niko sahihi lakini sio Bashiru