GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,052
- 107,536
Kila zama na Kitabu chake na kama Wapinzani ' reference ' yenu Kubwa huwa ni kwa Rais Mstaafu Kikwete basi nawashaurini pelekeni maombi yenu Kwake ili ahamie Kwenu na awe Mgombea wenu kwa mwaka 2020 au 2025 kama ataweza na atakuwa tayari. Na mlivyo Wanafiki wakubwa ila wepesi wa Kusahau ni nyie nyie Wapinzani tena wa CHADEMA ndiyo mlikuwa kila uchao / siku mnaudhihaki na kuukosoa Utawala wa Kikwete huku mkimtukana Baba wa Watu ila kwakuwa aliwaelewa matatizo yenu akawa anawaapuuza tu ila kwa huyu Mwanamume wa Chato Yeye hawachekei na hana cha Kurembaremba na anawanyoosheni vizuri mno ndiyo maana sasa ni kama vile mmechanganyikiwa na hamjui mnataka nini mpo mpo mmebaki Kudandia Hoja za Kipumbavu / Kipopoma mkidhani zitawasaidia kuwajenga vyema Kisiasa.