Doyi
JF-Expert Member
- Dec 4, 2011
- 1,425
- 1,475
Wapendwa wanajamvi napenda kuwajulisha ndugu jamaa na marafiki kuwa mpendwa wetu Dr Balla fyp Masselle wa department ya linguistic UDSM jana saa 1 kasorobo ucku amefariki akiwa hospitali ya muhmbili baada ya .kuugua ugonjwa wa kupungukiwa na damu mara kwa mara takriban mwez mzima.Mpaka anafariki chanzo cha kupungua damu mara kwa mara madaktari hawajatoa ripot ya kueleweka kuwa hali hyo ilisababishwa na nini.Msiba upo chuo kikuu maeneo ya UDASA mtaa Wa Simba nyumba No 4.Taratibu za mazish bado znaendelea kupangwa.Kwa maelekezo zaidi pga namba0784492260 au kwa wadau watakaoweza kutoa rambi rambi kwa njia ya Tgo pesa tuma 0715492260.Zote hzo ni namba za mke wa marehemu.Asanteni