Dr(MD) Bahati Kaluwa ambaye alikuwa ni mwana jf mwenzetu amefariki usiku wa leo, nawapa pole mkewe Dr Grece familia yake pamoja na familia ya ma Doctor kwa msiba huu. Yeye katangulia na sisi tutafuata.
Poleni sana. Nini sababu ya kifo chake?Dr(MD) Bahati Kaluwa ambaye alikuwa ni mwana jf mwenzetu amefariki usiku wa leo, nawapa pole mkewe Dr Grece familia yake pamoja na familia ya ma Doctor kwa msiba huu. Yeye katangulia na sisi tutafuata.