Dr. Azaveli Lwaitama, Prof. Seith Chachage (RIP) vs Dr. Bana & Prof Mukandala et al

KakaKiiza,

Nakushukuru sana. Lazima tuifikishe JF mahali inapotakiwa kuwepo. Kuelimishana na kukosoana huku tukiheshimiana itakuwa nguzo ya maendeleo yetu binafsi na taifa kwa ujumla.

Hatuwezi kuibadili nchi kwa kutukanana na kudharauliana. Hatutakuwa na tofauti na wabunge wanaozomea wenzao na kuwaita makondakta halafu wabunge wanaoona wamedharauliwa wanapoamua kurudi kwa wananchi kushtaki wanaambiwa wanavunja amani. Tatizo la sasa ni dharau na watu kujiona bora zaidi.

Nitasema wazi, CCM wanadharau upinzani. Wanajiona wao ni bora na wanamamlaka. Hoja ikipelekwa bungeni wanaangalia inawasaidia nini kama chama sio ina maslahi gani kwa nchi. As a result wanajikuta wanaongoza wananchama wao na sio wananchi. Inapofika hapo wanasema tatizo Chadema. Yote imeanzia kwenye dharau.

JF hatutadharauliana. Wachache wanaweza kudharau lakini wengi tuendelee kuelimishana na kukosoana kwa hoja. Hii nchi inatuhitaji sisi kuilinda, kuitetea na kuiendeleza. Haihitaji matusi, kejeli, dharau na jazba.

Nakushukuru sana ndugu. Tuijenge nchi yetu pamoja.
 
Dr Lwaitama kwa mshahara, machapisho, ziara zake nje na ndani haviendani kabisa na maisha anayoishi yeye na familia yake. Ni kipenzi tu cha watu wa Tv. Anaelekea kushindwa sana maisha!
.

Hata Nyerere tunayemsifia leo alishindwa maisha? Any one devoted to other's life does not care himself. His pleasure relies on the success of many including you. Sorry to say so!
 
.

Hata Nyerere tunayemsifia leo alishindwa maisha? Any one devoted to other's life does not care himself. His pleasure relies on the success of many including you. Sorry to say so!
Mwalimu alikuwa Kiongozi wa Nchi. Lwaitama hata ka-NGO "kake" hana. Hauwezi kuendesha maisha yale halafu tukae tunakusifia kwa kuwa unapewa nafasi kwenye mihadhara.
 
Jamani poleni sana. Dr. Lwaitama is still very alive. Prof. Chachage's words and ideas are also very alive today. The latter is one of the best Prof who I have met. He had a great mind and heart.

Dr. Lwaitama has proven himself to be a true soul. He has Tanzania at heart and in any circumstance he has remained objective and kept his reputation. He does not pamper the power holders with sweet words or cooked statistics just to put bread on his desk!

He is a true academician! A fact is a fact!

mkuu mleta mada umeandika kisomi na ki insha zaidi. Hiyo RIP iko kwa kwa prof.chachage tu na si kwa wote. Otherwise naungana nawe kumkumbuka Mpendwa chachage,na kumsifia mh. Lwaitama kwa kuendeleza sauti ya wapiganaji. Dr.Lwaitama is role model. Siku njema.
 
Nafikiri Dr nasikia siku hizi ni Prof Rwaitama , ni mtu anayependa sana kuuza sura katika vyombo vya habari na TV ili apate umaarufu. Kijumla ni msomi mzuri wa Siasa lakini amepitwa na wakati kwa mujibu wa siasa za kisasa.

Anahitaji kurudi tena shule ajifunze mbinu na uendeshaji wa siasa za kisasa hususan katika dunia hii ya utandawazi.
 
Mwalimu alikuwa Kiongozi wa Nchi. Lwaitama hata ka-NGO "kake" hana. Hauwezi kuendesha maisha yale halafu tukae tunakusifia kwa kuwa unapewa nafasi kwenye mihadhara.

Hapa tunaangalia mchango wa hawa wanazuoni katika maisha ya mtanzania wa kawaida,hoja ya maisha yake binafsi sio relevant kwa maada hii,ok then Mwalimu Nyerere alikuwa kiongozi wa nchi then alikuwa na vi NGO vingapi,hata kama angekuwa navyo vingewasaidia vipi wananchi kujikwamua na lindi la umasikini,THINK BIG!!
 
Chachage ni mtu pekee aliyekuwa tayari kabisa kufichua kilichotokea kwenye suala zima la Meremeta!! na tupo tunaoamini he paid for that with his life.
 
WanaJF,

Kwa wale ambao wamebahatika kuwafahamu Dr. Lwaitama na hayati Prof. Chachage (mwanazuoni aliyebobea aliyeandika Makuwadi wa Soko Huria na maandiko mengine mengi) watakubaliana nami kwamba katika viunga vya siasa zetu leo hii hawa ni wasomi wa aina yake, in life and in death.

Huwezi walinganisha na wengine ambao ni wasomi waganga njaa na waliopo kimaslahi zaidi.

For a minute, close your eyes mkumbuke Prof. Chachage. Think of what he championed. Visualize the Tanzania he advocated for. And say a little prayer thanking God the almighty for giving Tanzania Prof. Chachage and for allowing Dr Azaveli Lwaitama to continue in the same foot steps.

I need say less!
Kila penye mjuzi kuna mjuzi zaid yake.
 
Wewe mbona Dr Lwaitama bado yuko hai RIP KIVIPI? kwa Chachage its ok my beloved prof. rest in peace,

Muganyizi unaniangusha.... mbona mwandishi hajasema Dr. Lwaitama kafariki...follow his quote"For a minute, close your eyes mkumbuke Prof. Chachage. Think of what he championed. Visualize the Tanzania he advocated for. And say a little prayer thanking God the almighty for giving Tanzania Prof. Chachage and for allowing Dr Azaveli Lwaitama to continue in the same foot steps."
 
Dr Lwaitama kwa mshahara, machapisho, ziara zake nje na ndani haviendani kabisa na maisha anayoishi yeye na familia yake. Ni kipenzi tu cha watu wa Tv. Anaelekea kushindwa sana maisha!
crap! yewe ameamua kuitumikia nchi. unadhani angekuwa kama dr bana angeishi maisha ya aina hiyo? kwa taarifa yako dr lwaitama alifuatwa akaombwa amuunge mkono jk wampe deal akakataa. ni mzalendo. yeye ni kama nyerere. ni masikini wa mali ila tajiri wa uadilifu na uzalendo kwa nchi yake.
 
WanaJF,

Kwa wale ambao wamebahatika kuwafahamu Dr. Lwaitama na hayati Prof. Chachage (mwanazuoni aliyebobea aliyeandika Makuwadi wa Soko Huria na maandiko mengine mengi) watakubaliana nami kwamba katika viunga vya siasa zetu leo hii hawa ni wasomi wa aina yake, in life and in death.

Huwezi walinganisha na wengine ambao ni wasomi waganga njaa na waliopo kimaslahi zaidi.

For a minute, close your eyes mkumbuke Prof. Chachage. Think of what he championed. Visualize the Tanzania he advocated for. And say a little prayer thanking God the almighty for giving Tanzania Prof. Chachage and for allowing Dr Azaveli Lwaitama to continue in the same foot steps.

I need say less!
...i respect them alot!!!
 
Muganyizi unaniangusha.... mbona mwandishi hajasema Dr. Lwaitama kafariki...follow his quote"For a minute, close your eyes mkumbuke Prof. Chachage. Think of what he championed. Visualize the Tanzania he advocated for. And say a little prayer thanking God the almighty for giving Tanzania Prof. Chachage and for allowing Dr Azaveli Lwaitama to continue in the same foot steps."

geopysics tatizo ni title, kwa hiyo wengi humu wanaishangaa first impression. Wenzetu husema hivi " There is no second chance for first Impression" sasa maelezo haya kuwa mwisho inashtua. Ina maana wote walio lalamika hawana brain. Hata Lwaitama mwenyewe Kashtuka!!!
 
Chachage was Dr Slaa braza's from anaza maza
Mungu amlaze peme peponi .
Lwaitama endelea Dr. kuna umati mkubwa tunakuunga mkono.
 
Dr Lwaitama kwa mshahara, machapisho, ziara zake nje na ndani haviendani kabisa na maisha anayoishi yeye na familia yake. Ni kipenzi tu cha watu wa Tv. Anaelekea kushindwa sana maisha!

WildCard,

Unamkumbuka Aristotle? Je unakumbuka maisha aliyoishi mpaka kifo chake? Unamkumbuka Darwin?

Sidhani kama ni sahihi kusema Dr. Lwaitama ameshindwa maisha. Maisha ni nini? Nyumba? Magari? Fedha? Kuwa na NGOs? Hayo ndio maisha? Kwa hiyo kwa mantiki hiyo Rostam amefanikiwa sana maisha, vilevile wengineo wengi tu!

Dr. Lwaitama has done and is doing his part to this country. Suala la kuwa kipenzi cha watu wa TV si hoja. At least ni kipenzi for all good reasons.
 
Chachage was Dr Slaa braza's from anaza maza
Mungu amlaze peme peponi .
Lwaitama endelea Dr. kuna umati mkubwa tunakuunga mkono.

nimependa maandishi yako. Umempamba dr vilivyo. Umenilazimisha nikupe thanks,sina jinsi.
 
Back
Top Bottom