johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,832
- 141,749
Dr Mrema aliweza kutimiza majukumu yake kiufanisi hadi kupandishwa cheo na kuwa Naibu Waziri mkuu.
Ni mbinu gani alizitumia mangi huyu katika kutimiza majukumu yake kwa ufanisi ambazo mawaziri wa zama hizi hawajazing'amua.
Waliofeli ni pamoja na Mwapachu, Lau Masha, Dr Nchimbi, Dr Kitwanga, Dr Nchemba na Lugola.
Maendeleo hayana vyama!
Ni mbinu gani alizitumia mangi huyu katika kutimiza majukumu yake kwa ufanisi ambazo mawaziri wa zama hizi hawajazing'amua.
Waliofeli ni pamoja na Mwapachu, Lau Masha, Dr Nchimbi, Dr Kitwanga, Dr Nchemba na Lugola.
Maendeleo hayana vyama!