IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,017
Askofu wa kkkt dayosisi ya mashariki na pwani Dr Alex malasusa amesikitishwa na jinsi waumini wa kikristo wanavyopeana talaka..ameyasema hayo Leo 25/12/2018 katika misa ya kusherehekea maazimisho ya kuzaliwa yesu kristo katika kanisa la azania front jijini dsm.
"Leo hii wanandoa hawana uhakika wakufika uzeeni hii inakiuka kabisa na maamrisho ya Mungu"
NB:Mwenyezi Mungu kupitia kitabu chake aliona mbali ndio maana alihalalisha kuoa na kutoa talaka pale inapobidi...
"Leo hii wanandoa hawana uhakika wakufika uzeeni hii inakiuka kabisa na maamrisho ya Mungu"
NB:Mwenyezi Mungu kupitia kitabu chake aliona mbali ndio maana alihalalisha kuoa na kutoa talaka pale inapobidi...