The Fixer
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 1,365
- 583
Wana JF,
Greetings..
Namuulizia yule Mama Dr Asha Rose Migiro baada ya kutaka UN, Kwasasa anafanya kazi gani hasa hasa ya kuinua Taifa ? Naskia ni mjuzi wa Sheria ina maana hata darasa la kufundisha hajapatiwa huko nyumbani jamani ?
Naomba kufahamu hili.....
The Fixer,
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Greetings..
Namuulizia yule Mama Dr Asha Rose Migiro baada ya kutaka UN, Kwasasa anafanya kazi gani hasa hasa ya kuinua Taifa ? Naskia ni mjuzi wa Sheria ina maana hata darasa la kufundisha hajapatiwa huko nyumbani jamani ?
Naomba kufahamu hili.....
The Fixer,
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums