GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
Leo katika kipindi cha asubuhi za Radio One Nipashe kilikuwa kinamuhoji Dr. Bashiri Ally (Mhadhiri wa Chuo Kikuu Cha Dar es salaam Kitivo cha Siasa) kuhusiana na lengo kuu la vyama vya siasa. Katika majibu yake alisema kuwa, Lengo cha tawala ni kuendelea kutawala na kushika dola, ila lengo la vyama vingine (ambavyo sio tawala) ni kuhamasisha umma kujiletea maendelea yao mengine.
My take : Kama ndivyo hivyo basi ina maana vyama vingine visivyo kuwa tawala havijui lengo lao kuu ni nini? Kwani kila siku tunasikia wakisema lengo lao ni kushika dola kumbe sivyo kabisa.
My take : Kama ndivyo hivyo basi ina maana vyama vingine visivyo kuwa tawala havijui lengo lao kuu ni nini? Kwani kila siku tunasikia wakisema lengo lao ni kushika dola kumbe sivyo kabisa.