kidereko
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 882
- 1,254
Dah,inawezekana, Dogo ana mikogo aisee na kiburi fulani, Mwendazake aliwapa Sana kiburi ,Wankyo inasemwa kuwa anaishi hotelini (analipia chumba cha hoteli) ili awe karibu na mahakama. Haya ndio matokeo ya Ukwasi wa kutisha
Ila Dpp mwakitalu Kuna kitu inabidi akifanyie kazi kwenye hizi mahakama au kwenye suala la kesi, mfano unakuta eti kesi ina miaka zaidi ya miaka mitano, mshtakiwa yupo nje kwa dhamana au yupo gerezani,kila siku anaambiwa upelelezi eti haujakamilika, Upelelezi gani wakuchukua miaka mitano au mitatu?!!
Inabidi hili suala DPP Mwakitalu alifanyie kazi