johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
Nimemsikiliza kwa makini Rais Magufuli akiwa mjini Dodoma ambapo amemtaka DPP Biswai kutembelea mahabusu zote na zile kesi zilizokosa mashiko azifutilie mbali.
Nakuomba sana mh DPP mtembelee pia Michael Wambura aliyebadilishiwa badilishiwa mashtaka na sasa hadhaminiki.
Ni hayo machache
Maendeleo hayana vyama!
Nakuomba sana mh DPP mtembelee pia Michael Wambura aliyebadilishiwa badilishiwa mashtaka na sasa hadhaminiki.
Ni hayo machache
Maendeleo hayana vyama!