Dpp ..mkurugenzi wa mashitaka.. Elieza feleshi.. Laivu..dk.45>>itv

sir.JAPHET

JF-Expert Member
May 18, 2012
699
133
Mkurugenzi ma mashtaka hapa nchini.. Ameelezea na kuainisha utendaji wa kazi na uwajibikaji kisheria.. Ameeleza ulazima wa mwanasheria kujiunga na school of law, uendeshaji wa mashtaka unavyo fanyika kwa umma na jamii.. Jinsi kesi na mashtaka yanavyopokelewa Kwa mapolisi, wanasheria,,
ameeleza kuhusu uharamia na udhibiti wake katika karne hii ya utandawazi.. Makosa ya kwenye hifadhi yanavyoangaliwa.. Na msimamo wake yeye na watendaji kazi wake katika kusimamia na kurekebisha hiizi changamoto ktk legal sector.. ameeleza mchango wa sheria na umuhim wake katika kuendeleza uchumi kupitia kuondoa utata kwenye mikataba na sera nzuri kupitia nyanja ya sheria..
haki za msingi za mshtakiwa na mshitaki ameeleza.. Mashiko yake kupitia tuhuma, mazingira ya kesi, mashahd, ushaid, vielelezo.. Kulingana na hivo mahakama husema mtu anayo kes ya kujib au la? Na amri na uamuzi wa mahakama kulingana na kesi husika, na kuna vipimo vinavyo angaliwa mpaka kesi kufikishwa mahakamani.. Na mtu hukata rufaa kama amerizika na maamuz au la? kulingana ngazi ya mahakama ambapo maamuz yametolewa! na jukum la kikosi chake cha kuongoza mashtaka ni lazima kumlinda shahidi..na kumuongoza shahd kulingana na mujibu na mipaka ya sheria Na shahid anapewa fursa zote kueleza ushahid na mazingira na kulindwa..
 
Takukuru wanailalamikia ofisi yake kwamba inachelewesha maamuzi na inafuta kesi nyingi za rushwa, mi nataka angeulizwa kama Takukuru wanaamini zinzushahidi wa kutosha DPP anatupilia mbali
 
ameongeza kuwa kesi zote ambazo ziko mahakamani wanazisimamia na kuhakisha kuwa haki inapatikana na wenye hatia wana wekwa kitimoto! Na AMEOMBA JAMII NA UMMA UIAMINI OFISI YAKE NA KWAMBA WAMEJIPANGA.. KUWASHUHURIKIA WANAO HUJUM UCHUMI NA KUVUNJA..
 
amewaonya waandishi wa habari kuandika habari nusu nusu bila kupeleleza. . Na amesema kuwa WITO WAKE ANAWAPENDA SANA WADAU.. NA AMEOMBA USHIRIKIANO NA WATENDAJI WENGINE SERIKAKINI NA KWENYE MASHRIKA BINAFSI..
 
amesema kuwa pesa si kinga ya kuepuka hukumu na NA KUWA PESA HAIWEZI KUNUNUA HAKI...NA HAKUNA MTENDAJI ALIYEJUU YA SHERIA NA AMESEMA KUWA WANANCHI WAKIAMUA KUTAFUTA HAKI WATAIPATA.. NA TUENDELEE KUBORESHA MAZINGIRA YA HAKI.. NA UPATIKANAJ WAKE KWA WATANZANIA WOTE.. KWA UJUMLA.
 
Eliezer Feleshi, Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), aache kudanganya watu kwa sababu ni moja kati ya vigogo wanaotuhumiwa katika kashfa ya kuingilia kesi ya mauaji ya watu wanne waliouawa katika Kijiji cha Tegeruka Wilaya ya Musoma Vijijini Aprili, 2009 wakidaiwa kuwalinda watuhumiwa hao ambao ni viongozi wa chama tawala CCM.

Habari za uhakika zinaeleza kuwa kutokana na shinikizo la vigogo hao akiwamo ofisa wa Ofisi ya Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DPP), wamesababisha kesi iliyokuwa ikiwakabili watu hao ambao pia ni madiwani watatu na Mwenyekiti wa CCM wa Kata, kufutwa na DPP Eliezer Felishi.

Februari, 15 mwaka huu, Feleshi alifuta kesi hiyo iliyokuwa Mahakama Kuu mjini Musoma kwa madai kwamba kuna utata katika kesi hiyo, hivyo anarudisha jalada polisi ili waanze kulifanyia uchunguzi upya. Mtuhumiwa moja ambaye ni diwani inasemekana ni ndugu wa ofisa wa ngazi za juu katika ofisi ya DPP.

Kwa habari zaidi soma hapa;

CCM imekuwa kimbilio la wahalifu wakiwemo wezi, wauaji na mafisadi kwa sababu watu kama Eliezer Feleshi wameamua kusaliti taaluma zao kwa sababu ya ulafi, unafiki na tamaa ya mali, shame on him!
 
Kama kuna ofisi iliyosaidia sana kukua na kushamiri rushwa kubwakubwa ni ya DPP chini ya Feleshi
 
Mie simwamini,maana kesi zinachukua mda mrefu sana,nahisi kuna rushwa iliyokisiri kwenye office hii.
 
Back
Top Bottom