sir.JAPHET
JF-Expert Member
- May 18, 2012
- 699
- 133
Mkurugenzi ma mashtaka hapa nchini.. Ameelezea na kuainisha utendaji wa kazi na uwajibikaji kisheria.. Ameeleza ulazima wa mwanasheria kujiunga na school of law, uendeshaji wa mashtaka unavyo fanyika kwa umma na jamii.. Jinsi kesi na mashtaka yanavyopokelewa Kwa mapolisi, wanasheria,,
ameeleza kuhusu uharamia na udhibiti wake katika karne hii ya utandawazi.. Makosa ya kwenye hifadhi yanavyoangaliwa.. Na msimamo wake yeye na watendaji kazi wake katika kusimamia na kurekebisha hiizi changamoto ktk legal sector.. ameeleza mchango wa sheria na umuhim wake katika kuendeleza uchumi kupitia kuondoa utata kwenye mikataba na sera nzuri kupitia nyanja ya sheria..
haki za msingi za mshtakiwa na mshitaki ameeleza.. Mashiko yake kupitia tuhuma, mazingira ya kesi, mashahd, ushaid, vielelezo.. Kulingana na hivo mahakama husema mtu anayo kes ya kujib au la? Na amri na uamuzi wa mahakama kulingana na kesi husika, na kuna vipimo vinavyo angaliwa mpaka kesi kufikishwa mahakamani.. Na mtu hukata rufaa kama amerizika na maamuz au la? kulingana ngazi ya mahakama ambapo maamuz yametolewa! na jukum la kikosi chake cha kuongoza mashtaka ni lazima kumlinda shahidi..na kumuongoza shahd kulingana na mujibu na mipaka ya sheria Na shahid anapewa fursa zote kueleza ushahid na mazingira na kulindwa..
ameeleza kuhusu uharamia na udhibiti wake katika karne hii ya utandawazi.. Makosa ya kwenye hifadhi yanavyoangaliwa.. Na msimamo wake yeye na watendaji kazi wake katika kusimamia na kurekebisha hiizi changamoto ktk legal sector.. ameeleza mchango wa sheria na umuhim wake katika kuendeleza uchumi kupitia kuondoa utata kwenye mikataba na sera nzuri kupitia nyanja ya sheria..
haki za msingi za mshtakiwa na mshitaki ameeleza.. Mashiko yake kupitia tuhuma, mazingira ya kesi, mashahd, ushaid, vielelezo.. Kulingana na hivo mahakama husema mtu anayo kes ya kujib au la? Na amri na uamuzi wa mahakama kulingana na kesi husika, na kuna vipimo vinavyo angaliwa mpaka kesi kufikishwa mahakamani.. Na mtu hukata rufaa kama amerizika na maamuz au la? kulingana ngazi ya mahakama ambapo maamuz yametolewa! na jukum la kikosi chake cha kuongoza mashtaka ni lazima kumlinda shahidi..na kumuongoza shahd kulingana na mujibu na mipaka ya sheria Na shahid anapewa fursa zote kueleza ushahid na mazingira na kulindwa..