Prof Koboko
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 350
- 2,549
Kwakweli toka moyo wangu na kwa haki ya Mungu, Polisi hii kesi imewaumbua vibaya sana mpaka hata polisi wengine walioko nje wanashangaa sana. Mashahidi upande wenu wamejichanganya kwa kila kitu, wametofautiana mpaka kuna mahali hata raia wa kawaida anajua kuna mambo ni ya uongo wa wazi.Hivi mlifikiri mkimtuhumu na kumfunga Mbowe ni kuiokoa CCM na serikali dhidi ya harakati zake Mbowe za kudai katiba mpya na kuua upinzani ? Au mliwaza kitu gani? Hamkua mkijipanga?
Mpaka sasa hata raia Mjinga akiasi gani anaelewa kabisa hukumu ya kesi hii hata ikiwa kinyume cha matarajio ya wengi, yaani kesi inayoitwa kua ni ya Ugaidi utafikiri ni kesi ya kawaida ya unyang'anyi. Na niwaambie siyo kwamba kesi ya Mbowe na wenzake 3 inatetewa na mawakili Mahiri sana au laah, au mawakili wa serikali ni Vilaza, big NO! Kesi hii haileweki iko miguu chini au juu yaani mpaka hata washtakiwa wana confidence na ndio maana mnaona Shahidi wa jana yule Komandoo Adamoo alijibu kwa kujiamini sana.
Kiukweli kabisa mlitakiwa kupima, Kwanza Mbowe chama chake ni kikubwa na cha pili kwa wingi wa wanachama Tz ambao ni milion 6.5 nyuma ya CCM yenye wanachama milion 8. Kiongozi wa Chama kikubwa huwezi kumshtaki kirahisi rahisi hivyo kwa jambo usilokua na uhakika nao,Chukueni mfano wa Raila Odinga wa Kenya alivyosumbuliwa na MOI na haikusaidia kitu , na isitoshe Mbowe alikua Kiongozi mkuu wa kambi rasmi ya upinzani na hana record yeyote ya uhalifu.
DPP na Polisi nilitakiwa mpime kwanza kua Mbowe alikamatwa akiandaa Kongamano la kudai katiba mpya, neno "Katiba" liko kwenye vichwa vya watu wengi wanaojitambua, liko kwenye vichwa vya wanaharakati wote na pia lipo kwenye mataifa yenye taasisi kubwa za haki za binadamu. Msigetegee hili suala likakosa attention ya ndani na nje ya nchi. Kwakweli kama mlitagemea kulinda maslahi taifa kwa jambo hili mmeingia katika mkwamo kweli kweli hata mkililazimisha.
Etii, yaani kesi inakua na attention kubwa ya watanzania na walioko ndani na nje ya nchi kuliko hata safari ya Mama huko nje na hotuba yake? Kuna kitu hakipo sawa lazima tukubaliane hapa. Tukiendekeza siasa hizi siasa mbovu hivi nawaambieni CCM haina hata miaka 10 mbeleni na huenda hiyo ikawa mingi sana,na mtayakumbuka maneno haya.
USHAURI WANGU KWENU;
Lipeni hadhi taifa hili, futeni kesi hii mpaka hapa ilikofikia kwa ushahidi uliotolewa tayari ni kama imeisha. Ukiangalia hata mashahidi wa upande wa mashtaka kwa sasa hawana jipya zaidi ya kujikanganya tu na huenda wakaharibu zaidi mbeleni wakaendelea kuwakwaza Watanzania. Toeni onyo kiaina kama kuzuga tu lakini mtakuwa mmeshamaliza mchezo hamjachelewa.
Mpaka sasa hata raia Mjinga akiasi gani anaelewa kabisa hukumu ya kesi hii hata ikiwa kinyume cha matarajio ya wengi, yaani kesi inayoitwa kua ni ya Ugaidi utafikiri ni kesi ya kawaida ya unyang'anyi. Na niwaambie siyo kwamba kesi ya Mbowe na wenzake 3 inatetewa na mawakili Mahiri sana au laah, au mawakili wa serikali ni Vilaza, big NO! Kesi hii haileweki iko miguu chini au juu yaani mpaka hata washtakiwa wana confidence na ndio maana mnaona Shahidi wa jana yule Komandoo Adamoo alijibu kwa kujiamini sana.
Kiukweli kabisa mlitakiwa kupima, Kwanza Mbowe chama chake ni kikubwa na cha pili kwa wingi wa wanachama Tz ambao ni milion 6.5 nyuma ya CCM yenye wanachama milion 8. Kiongozi wa Chama kikubwa huwezi kumshtaki kirahisi rahisi hivyo kwa jambo usilokua na uhakika nao,Chukueni mfano wa Raila Odinga wa Kenya alivyosumbuliwa na MOI na haikusaidia kitu , na isitoshe Mbowe alikua Kiongozi mkuu wa kambi rasmi ya upinzani na hana record yeyote ya uhalifu.
DPP na Polisi nilitakiwa mpime kwanza kua Mbowe alikamatwa akiandaa Kongamano la kudai katiba mpya, neno "Katiba" liko kwenye vichwa vya watu wengi wanaojitambua, liko kwenye vichwa vya wanaharakati wote na pia lipo kwenye mataifa yenye taasisi kubwa za haki za binadamu. Msigetegee hili suala likakosa attention ya ndani na nje ya nchi. Kwakweli kama mlitagemea kulinda maslahi taifa kwa jambo hili mmeingia katika mkwamo kweli kweli hata mkililazimisha.
Etii, yaani kesi inakua na attention kubwa ya watanzania na walioko ndani na nje ya nchi kuliko hata safari ya Mama huko nje na hotuba yake? Kuna kitu hakipo sawa lazima tukubaliane hapa. Tukiendekeza siasa hizi siasa mbovu hivi nawaambieni CCM haina hata miaka 10 mbeleni na huenda hiyo ikawa mingi sana,na mtayakumbuka maneno haya.
USHAURI WANGU KWENU;
Lipeni hadhi taifa hili, futeni kesi hii mpaka hapa ilikofikia kwa ushahidi uliotolewa tayari ni kama imeisha. Ukiangalia hata mashahidi wa upande wa mashtaka kwa sasa hawana jipya zaidi ya kujikanganya tu na huenda wakaharibu zaidi mbeleni wakaendelea kuwakwaza Watanzania. Toeni onyo kiaina kama kuzuga tu lakini mtakuwa mmeshamaliza mchezo hamjachelewa.