😄😄😄
😄😄😄
Wewe ndiye pumba ambaye huoni mantiki ya swali langu... soma hii, nimgoogle na kupata jibu. Na nitgoogle zaidi for cases on this subjectAcha pumba
Hili ndilo suluhisho lililobaki kwa Jaji Biswalo kumkataa maana at any rate hawezi kutenda haki. Huyu kazaliwa na roho mbaya, inborn, instinctive hawezi kubadilika.
Sheria inaruhusu kumkataa Jaji?
Leo Mama yetu sijampenda kwa kitendo cha kumwapisha Shetani. Kumbe naye ni jeuri. Watu wametoa sababu nzuri kuwa asimwapishe, very sounding reasons, lkn bado akamwapisha. Huyu hatatufikisha mbali katika uwanja wa hakiInaruhusiwa kumkataa Jaji Mkuu lakini ombi la mtuhumiwa linaweza kabisa kutofanikiwa katika hii Serikali ya kidikteta.
Leo Mama yetu sijampenda kwa kitendo cha kumwapisha Shetani. Kumbe naye ni jeuri. Watu wametoa sababu nzuri kuwa asimwapishe, very sounding reasons, lkn bado akamwapisha. Huyu hatatufikisha mbali katika uwanja wa haki
mmmhMama ana washauri wanaomshauri kwa maslahi yao binafsi.