Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,204
- 34,119
A shithole government
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi umeelewa kilichoandikwa hapo? Hao wote bado wataendelea kusota jela, hizo ni delay tekiniki za DPP anapokuwa hana ushahidi na ana maelekezo hampaswi kuachiwa huru lazima mkomeshwe kwa kukaa jela tu.Taaratibu pengine DPP anakaribia faili la Mwenyekiti na wenzie 3 ktk kesi namba 16 / 2021, hivyo anatuma ujumbe wa moshi mweupe utaonekana...
Hakuna aliyefutiwa mashtaka hapo, wengi hamuelewi michezo ya ofisi ya DPP.Wanawafutia mashtaka wengine huku wakiwapachika wengine mashtaka ya uongo, huu ni muendelezo wa upuuzi wa awamu iloyopita.
Mambo ya visasi peleka kaburini mkajadili na mwenzio. Miaka zaidi ya 5 kama ushahidi hajapatikana kwanini tusiamini mhusika aliwekwa ndani kwa kuonewa kwa sababu ya visasi binafsi vya shetani mchawi? Kama hao wangekuwa na hatia, shetani mwenye roho mbaya kwanini hakuacha wameshahukumiwa ktk miaka yake zaidi ya 5 aliyokaa ktk kiti akitesa watu kwa visasi vyake? Mbona kina Sabaya ambao walipelekwa mahakani bila kuonewa wamehukumiwa kwakuwa ushahidi ulikuwepo na haukuwa na shaka ndio maana hata yeye mwenyewe akashindwa kuukana ushahidi dhidi yake?Kesi za wapigaji ndio zinafutwa. Miaka mingapi vitambulisho bado watu kupewa wote kwa upigaji wa funds za vitambulisho. Halafu wapigaji wamerudishwa ulingoni wanafutiana kesi. Eti kesi za kijinga? Wakati ndio kesi za maana.
Kweli kabisa yule alikuwa MWOVU IBILISI kabisa. Hivi JK alikuwa hamjui hadi akakubali kutuchomekea yule jamaa? Hivi kama Mungu asingeamua kumfutilia mbali hadi sasa tungekuwa taifa la aina gani?Ndio ubovu wa kutokuwa n taasisi imara na zenye meno. DPP yeye alipewa maagizo kutoka kwa ibilisi mwovu joka kuu weka ndani hao kwa visasi vyake. DPP naye hana hata muda wa kujiridhisha kama kweli kuna jinai sma la anatekeleza maagizo. Sasa tukisema hawa walikuwa wafungwa wa kisiasa mtatukatalia?
Kww hiyo mbowe ameshitakiwa na taasisi imara chini ya awamu ya 6Ndio ubovu wa kutokuwa n taasisi imara na zenye meno. DPP yeye alipewa maagizo kutoka kwa ibilisi mwovu joka kuu weka ndani hao kwa visasi vyake. DPP naye hana hata muda wa kujiridhisha kama kweli kuna jinai sma la anatekeleza maagizo. Sasa tukisema hawa walikuwa wafungwa wa kisiasa mtatukatalia?
Ndo mwendelezo uleule wa kufuata maelekezo toka juu. Nayo hiyo tusubiri muda utasema. Ndugu huelewi ama?Kww hiyo mbowe ameshitakiwa na taasisi imara chini ya awamu ya 6
Kwa hili CCM kama hawakujifunza sijui itakuwaje mbeleni wakituletea mtu wa sampuli Ile ya ibilisi mwovu joka kuu. Uzuri nao walionja joto la jiwe.Kweli kabisa yule alikuwa MWOVU IBILISI kabisa. Hivi JK alikuwa hamjui hadi akakubali kutuchomekea yule jamaa? Hivi kama Mungu asingeamua kumfutilia mbali hadi sasa tungekuwa taifa la aina gani?
Kama alikuwa na vijana kama Sabaya jee yeye yake ya uficho yako kiasi gani?
Kuna habari za chini kwa chini hata yeye kwa mkono wake mwenyewe aliwalaza watu.