DPP amuondolea Mashitaka Mustapha Kambanwa aliyedaiwa kuisababishia Serikali hasara ya Tsh 188.9 Bilioni

Huyu DPP naamini lazima atakuwa anachukua mizigo sana,haiwezekani kesi ya mihela mingi hvyo useme huna nia ya kuendelea nayo, kwenye wezi wa ushirika akijitela tu tunamla kichwa,haiwezekani mali zitwaliwe kiwiziwizi halafu useme huna nia ya kuendelea na kesi
 
Mafisadi wanaachiwa huru, hapo mjuba kapenyeza rupia kwa DDP halafu kaachiwa huru, Magufuli anaonekana mbaya.

Number don't lie, endeleeni kushangilia mama anaupiga mwingi
Hii inaitwa mama kaupiga mwingi 😂😂
IMG-20210716-WA0023.jpg
 
Huyu DPP naamini lazima atakuwa anachukua mizigo sana,haiwezekani kesi ya mihela mingi hvyo useme huna nia ya kuendelea nayo, kwenye wezi wa ushirika akijitela tu tunamla kichwa,haiwezekani mali zitwaliwe kiwiziwizi halafu useme huna nia ya kuendelea na kesi
Wana kauli yao siku hizi wanasema mama kaupiga mwingi 😂
 
Hama Nchi, magufuli hakuwa na hatimiliki ya hii Nchi jinga wewe!!, Acha DPP afanye kazi yake
Kuna ulazima wa kuniita mjinga? Mbona unapaniki kirahisi namna hii kwa Jambo la kujadili tu?

Au Kuna ugomvi wowote Mimi na wewe tunao? Unafeli Sana mwana jamiiforum!

Mkiwa kwenye keyboard mnakuwa mashujaa, natamani tukutane nikununulie walau maji
 
Dikteta alikuwa anafunga watu kiuonevu,Sasa kama jela kuzuri mpeleke mama yako nae akakae,

Kubwa zima linamuabudu mtu ambae ameshajiozea chini ya ardhi,

Rais Ni Samia kwasasa, huyo magufuli wako Kama unampenda Sana jiue umfuate
Aisee hayo matusi yote yangu? Hadi mama yangu mzazi kaingia kwenye filamu hii? Hongera Sana

Naheshimu mawazo yako na wazazi wako sitawasema vibaya.

Nyuma ya keyboard kila mtu Ni senior
 
1626467538194.png


Hii kodi kwa nini haikuwepo zamani, na tuliweza kuongeza uchumi kwenda uchumi wa kati. Hii kodi mpya inatuhakikishia uchumi upi? Au ndio inamuongezea SSH kupanua zaidi?
 
Hapo mimi sitashangaa kwani,wote walioleta changamoto ya mawazo mmbadala walipewa kesi ya kuhangaika nayo iliwabakie na mawazo yao mbadala.
Umesema kweli kabisa mkuu. Tembelea magerezani utaona watu wanavyosota kwa kesi za kubambikiwa na zisizokua na ushahidi. Shitaka linaloitwa "UTAKATISHAJI PESA" ni kichaka kilichokua kinatumiwa na aliyekua DPP Biswalo Mganga kukomoa na kuadhibu watu kwa kuwaweka magerezani kwa muda mrefu kabda hata ya kupatikana na hatia mahakamani

Ule msimamo wa sheria kwamba mtu hana hatia mpaka itakapothibitishwa na mahakama, kwa Tanzania ilikua ni kinyume chake. Ki bongobongo ni kwamba unapokamatwa na kushtakiwa basi wewe unahatia mpaka mahakama itakapo sema tofaut!!!

Kwenye mfumo wa utoaji haki na adhabu ukiwa na watu ambao ni ma"SADIST" laana na kilio cha uchungu kitatawala kila mahali. Tokea wakati wa Eliezer Feleshi kulikua na uonevu mkubwa unaofanywa na ofisi ya muendesha mashtaka dhidi ya haki ya uhuru wa watanzania. Kubambikiana kesi kulikithiri na hasa pale zilipokuja kutungwa sheria za kuongeza makosa yasio na dhamana.

Mambo sasa yanabadilika na haki na ubinadamu vinachukua nafasi yake. Katika watu wanaombewa Mungu Magerezani wazidi kubarikiwa ni pamoja na DPP wa sasa hivi Mh. Sylvester Mwakitalu. So far so good. Nami nasema Mungu Azidi kumbariki kwa kumpa maono zaidi ya kibinaadamu na utu
 
Umesema kweli kabisa mkuu. Tembelea magerezani utaona watu wanavyosota kwa kesi za kubambikiwa na zisizokua na ushahidi. Shitaka linaloitwa "UTAKATISHAJI PESA" ni kichaka kilichokua kinatumiwa na aliyekua DPP Biswalo Mganga kukomoa na kuadhibu watu kwa kuwaweka magerezani kwa muda mrefu kabda hata ya kupatikana na hatia mahakamani

Ule msimamo wa sheria kwamba mtu hana hatia mpaka itakapothibitishwa na mahakama, kwa Tanzania ilikua ni kinyume chake. Ki bongobongo ni kwamba unapokamatwa na kushtakiwa basi wewe unahatia mpaka mahakama itakapo sema tofaut!!!

Kwenye mfumo wa utoaji haki na adhabu ukiwa na watu ambao ni ma"SADIST" laana na kilio cha uchungu kitatawala kila mahali. Tokea wakati wa Eliezer Feleshi kulikua na uonevu mkubwa unaofanywa na ofisi ya muendesha mashtaka dhidi ya haki ya uhuru wa watanzania. Kubambikiana kesi kulikithiri na hasa pale zilipokuja kutungwa sheria za kuongeza makosa yasio na dhamana.

Mambo sasa yanabadilika na haki na ubinadamu vinachukua nafasi yake. Katika watu wanaombewa Mungu Magerezani wazidi kubarikiwa ni pamoja na DPP wa sasa hivi Mh. Sylvester Mwakitalu. So far so good. Nami nasema Mungu Azidi kumbariki kwa kumpa maono zaidi ya kibinaadamu na utu
Huyu DPP anafaa san asee kuliko yule shetani anajifanya muimba kwaya
 
Back
Top Bottom