[DOWANS] JK: Siijui, Serikali: Siijui, Wananchi: Hatuijui! Serikali: Lazima walipwe DOWANS!

Ta Muganyizi

R I P
Oct 19, 2010
5,361
2,732
Ndugu wana JF,
Naomba mnisaidie kwa tatizo ninalonipata kichwani mwangu hasa baada ya kuwa hivi juzijuzi nimejua kusoma na kuandika. Nadhani mtanipa msaada kwa moyo mmoja baada ya kuwa nimeeleza kiwango changu cha uelewa na elimu yangu. Hii ni kuhusu mimi mtoa mada:-

Elimu ya msingi - Nilifeli vibaya sana na nilikuwa wa pili kutoka mwisho Ki- mkoa huko Shinyanga

Sekondari - Kwa vile wazazi wangu walikuwa wakulima na wafuga kuku waliamua kunipeleka Sekondari angalau nisiwe kama wao, walau nijue gudi moningi. Nilipata division 0 ya points 35.

High Level - Kwa sababu wazazi wangu walikuwa na moyo walinipeleka A - level ya binafsi ili niwe nasoma wakati nikitafuta CREDIT 3 ili niweze kufanya mtihani wa form Six. Nimemaliza miaka 6 nasoma kutafuta Credit lakini zimegoma. Miaka 6 yote nimeambulia D ya Uraia. Angalau najua haki zangu kiasi. Na sasa naona nimejua kusoma na kuandika na ndio niko kwenye peak japokuwa nimeamua kurudi kijijini kwetu Bubuga nalima mbogamboga.

Sasa pamoja na uelewa wangu kuwa mdogo, kijijini kwetu yamekuwa yakifika magazeti kadhaa likiwemo mwana halisi na mengineyo na vilevile tuna viredio ambavyo huvitumia kusikiliza taarifa mbalimbali zikiwemo hotuba za Raisi. Kama hayo magazeti na Redio hazikudanganya,.......

Nimesikia kauli hizi hapa:----

Raisi : Siijui Dowans na wala sijui wamiliki wake

Serikali : Haiijui Dowans maana kiongozi mkuu haijui

Wananchi : Jamani hivi Dowans ni nani, majibu kutoka serikalini : Hatuwajui!!!!!

Tena Raisi aliwahi kusema ; Hajui kwa nini Tanzania ni Maskini!!!

Kauli ya Sasa Hivi : - Serikali na CCM wanasema lazima Dowans ilipwe, Nimezima redio weeeeee, lakini magazeti yameandika, Mahakama inasema Dowans lazima ilipwe. Hapa mimi mwenzenu nimekwama. Naombeni wana Jf wenzangu wenye uelewa na akili timamu, labda mie kwa vile nilifeli kiasi hiki inawezekana ni jibu jepesi ila mimi sijui. Nisaidieni jamani nisaidieeni. Nawaaminia wasomi wa nchi hii akiwemo Raisi hebu nisaidieni mie Education background yangu mmeiona. Nyie wenye akili nisaidieni. Huyo ambaye humjui unafikiaje hatua ya kumlipa bila kuwaomba radhi wananchi kuwa unamjua ila ulikuwa unavunga???????? Unataka kumlipaje kiasi kikubwa hivi ambaye humjui na wewe ni maskini na hujui kwa nini wewe ni maskini na umepata wapi fedha za kumlipaaaa??????? AAgghhh?!!!!!,..,.,.<>>_+": Nawasilisha.
 
hapo nadhani umeshamaliza kila kitu kwani mkuu wa kaya lazima ataishia kusema hivyohivyo au akamwiga nape..
 
Ukiona hata rais mwenye vyombo vya upelelezi hajui, basi hata sisi hatuwezi kuijua.
 
Kwakua hujui kusoma na wala kuandika kama mimi basi tufanye hivi; kesho kutwa tuingie barabarani mimi na wewe! ili tukafundishwe kusoma na kuandika na namna ya kutamka Do-once!
 
Kwakua hujui kusoma na wala kuandika kama mimi basi tufanye hivi; kesho kutwa tuingie barabarani mimi na wewe! ili tukafundishwe kusoma na kuandika na namna ya kutamka Do-once!
Ninyi ni wazushi, kwani hapa ninani kawaandikia na kuwasomea?
 
Ndugu wana JF,
Naomba mnisaidie kwa tatizo ninalonipata kichwani mwangu hasa baada ya kuwa hivi juzijuzi nimejua kusoma na kuandika. Nadhani mtanipa msaada kwa moyo mmoja baada ya kuwa nimeeleza kiwango changu cha uelewa na elimu yangu. Hii ni kuhusu mimi mtoa mada:-

Elimu ya msingi - Nilifeli vibaya sana na nilikuwa wa pili kutoka mwisho Ki- mkoa huko Shinyanga

Sekondari - Kwa vile wazazi wangu walikuwa wakulima na wafuga kuku waliamua kunipeleka Sekondari angalau nisiwe kama wao, walau nijue gudi moningi. Nilipata division 0 ya points 35.

High Level - Kwa sababu wazazi wangu walikuwa na moyo walinipeleka A - level ya binafsi ili niwe nasoma wakati nikitafuta CREDIT 3 ili niweze kufanya mtihani wa form Six. Nimemaliza miaka 6 nasoma kutafuta Credit lakini zimegoma. Miaka 6 yote nimeambulia D ya Uraia. Angalau najua haki zangu kiasi. Na sasa naona nimejua kusoma na kuandika na ndio niko kwenye peak japokuwa nimeamua kurudi kijijini kwetu Bubuga nalima mbogamboga.

Sasa pamoja na uelewa wangu kuwa mdogo, kijijini kwetu yamekuwa yakifika magazeti kadhaa likiwemo mwana halisi na mengineyo na vilevile tuna viredio ambavyo huvitumia kusikiliza taarifa mbalimbali zikiwemo hotuba za Raisi. Kama hayo magazeti na Redio hazikudanganya,.......

Nimesikia kauli hizi hapa:----

Raisi : Siijui Dowans na wala sijui wamiliki wake

Serikali : Haiijui Dowans maana kiongozi mkuu haijui

Wananchi : Jamani hivi Dowans ni nani, majibu kutoka serikalini : Hatuwajui!!!!!

Tena Raisi aliwahi kusema ; Hajui kwa nini Tanzania ni Maskini!!!

Kauli ya Sasa Hivi : - Serikali na CCM wanasema lazima Dowans ilipwe, Nimezima redio weeeeee, lakini magazeti yameandika, Mahakama inasema Dowans lazima ilipwe. Hapa mimi mwenzenu nimekwama. Naombeni wana Jf wenzangu wenye uelewa na akili timamu, labda mie kwa vile nilifeli kiasi hiki inawezekana ni jibu jepesi ila mimi sijui. Nisaidieni jamani nisaidieeni. Nawaaminia wasomi wa nchi hii akiwemo Raisi hebu nisaidieni mie Education background yangu mmeiona. Nyie wenye akili nisaidieni. Huyo ambaye humjui unafikiaje hatua ya kumlipa bila kuwaomba radhi wananchi kuwa unamjua ila ulikuwa unavunga???????? Unataka kumlipaje kiasi kikubwa hivi ambaye humjui na wewe ni maskini na hujui kwa nini wewe ni maskini na umepata wapi fedha za kumlipaaaa??????? AAgghhh?!!!!!,..,.,.<>>_+": Nawasilisha.
Pole sana mkuu wangu ndio tumeliwa, Wadanganyika leo wanatafuta kujifunika blanketi wakati kumekucha!..
 
Kama hajulikani nani aliandikisha kesi na nani atalipwa? na mlipaji ni masikini.bwana eee,huu ni usanii na ndo maana ni vema tukatae ili watakaopingana nasisi tunaoandamana tuwaulize mnamtetea nani ili alipwe?maana porojo zimezidi.
pole sana kwa kutojua kusoma ila uko updated
 
Ndugu wana JF,
Naomba mnisaidie kwa tatizo ninalonipata kichwani mwangu hasa baada ya kuwa hivi juzijuzi nimejua kusoma na kuandika. Nadhani mtanipa msaada kwa moyo mmoja baada ya kuwa nimeeleza kiwango changu cha uelewa na elimu yangu. Hii ni kuhusu mimi mtoa mada:-

Elimu ya msingi - Nilifeli vibaya sana na nilikuwa wa pili kutoka mwisho Ki- mkoa huko Shinyanga

Sekondari - Kwa vile wazazi wangu walikuwa wakulima na wafuga kuku waliamua kunipeleka Sekondari angalau nisiwe kama wao, walau nijue gudi moningi. Nilipata division 0 ya points 35.

High Level - Kwa sababu wazazi wangu walikuwa na moyo walinipeleka A - level ya binafsi ili niwe nasoma wakati nikitafuta CREDIT 3 ili niweze kufanya mtihani wa form Six. Nimemaliza miaka 6 nasoma kutafuta Credit lakini zimegoma. Miaka 6 yote nimeambulia D ya Uraia. Angalau najua haki zangu kiasi. Na sasa naona nimejua kusoma na kuandika na ndio niko kwenye peak japokuwa nimeamua kurudi kijijini kwetu Bubuga nalima mbogamboga.

Sasa pamoja na uelewa wangu kuwa mdogo, kijijini kwetu yamekuwa yakifika magazeti kadhaa likiwemo mwana halisi na mengineyo na vilevile tuna viredio ambavyo huvitumia kusikiliza taarifa mbalimbali zikiwemo hotuba za Raisi. Kama hayo magazeti na Redio hazikudanganya,.......

Nimesikia kauli hizi hapa:----

Raisi : Siijui Dowans na wala sijui wamiliki wake

Serikali : Haiijui Dowans maana kiongozi mkuu haijui

Wananchi : Jamani hivi Dowans ni nani, majibu kutoka serikalini : Hatuwajui!!!!!

Tena Raisi aliwahi kusema ; Hajui kwa nini Tanzania ni Maskini!!!

Kauli ya Sasa Hivi : - Serikali na CCM wanasema lazima Dowans ilipwe, Nimezima redio weeeeee, lakini magazeti yameandika, Mahakama inasema Dowans lazima ilipwe. Hapa mimi mwenzenu nimekwama. Naombeni wana Jf wenzangu wenye uelewa na akili timamu, labda mie kwa vile nilifeli kiasi hiki inawezekana ni jibu jepesi ila mimi sijui. Nisaidieni jamani nisaidieeni. Nawaaminia wasomi wa nchi hii akiwemo Raisi hebu nisaidieni mie Education background yangu mmeiona. Nyie wenye akili nisaidieni. Huyo ambaye humjui unafikiaje hatua ya kumlipa bila kuwaomba radhi wananchi kuwa unamjua ila ulikuwa unavunga???????? Unataka kumlipaje kiasi kikubwa hivi ambaye humjui na wewe ni maskini na hujui kwa nini wewe ni maskini na umepata wapi fedha za kumlipaaaa??????? AAgghhh?!!!!!,..,.,.<>>_+": Nawasilisha.


Sasa ukiona hivyo ujue wewe unaakili kuliko serikali ikiongozwa na raisi wao. . Ni upupu uliopindukia
 
du! nashindwa nikusidiaje lakini na ungana na muheshimiwa hapo juu hebu tutoke barabarani hiyo tarehe 14/10/2011 halafu utajua ni nani aneyelipwa hizo pesa zote! sawa
 
Shukrani sana wazee wanguu, Serikali si itoe walau tamko kama tunaisingiziaaaaaa???

Naungana na Dr Slaa lazima tuandamane tarehe 14 hiyo lazima. Kama ni bustani yangu ya mboga nitamwagilizia maji mengi siku moja kabla ili niingie mtaani
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom