Hii inchi ina wajinga wengi sanaTAKUKURU ni Taasisi inayoendeshwa kwa mujibu wa sheria na inataratibu zake katika utendaji, hata maamuzi yaliyotelewa dhidi ya watia nia wa CCM yametokana na taratibu za utendaji kazi wa Taasisi hiyo.
Hatupaswi kuilaumu TAKUKURU kwa hatua hiyo, kwani imeamua kufanya hivyo ili kamati ya maadili ya CCM iweze kuwachukuliwa hatua wahusika wa vitendo vya rushwa kwa kuwaondolewa sifa za kugombea nafasi mabalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu.
TAKUKURU ni Taasisi inayoendeshwa kwa mujibu wa sheria na inataratibu zake katika utendaji, hata maamuzi yaliyotelewa dhidi ya watia nia wa CCM yametokana na taratibu za utendaji kazi wa Taasisi hiyo.
Naishi Nizhny Novgorod.Wewe unaishi wapi? Au ni kati ya wsnaoshinda Karume ofisi za TFF kusubiri maamuzi ya shauri la Morrison!
Mkuu Johnny Sack ,akhsante sana kwa kuyaweka hapa ili iwe kama kumbukumbu na rejea wakati muafaka utakapofika.
Maamuzi gani wakati hatujasikia watu wakifikishwa mahakamani?TAKUKURU ni Taasisi inayoendeshwa kwa mujibu wa sheria na inataratibu zake katika utendaji, hata maamuzi yaliyotelewa dhidi ya watia nia wa CCM yametokana na taratibu za utendaji kazi wa Taasisi hiyo.
Kanuni hizo hizo zitafanya kazi upande wa Chadema, ACT, Chauma?Msijifanye nmaona ni jambo la ajabu, maamuzi hayo yametolewa kulingana na kanuni na taratibu zaTaasisi hiyo. Kma kuna mtu ana malalamiko aende mahakamani
Ndiye yupo Utumishi na utawala bora🤣🤣Dr Mwanjelwa wa Mbeya ni boss wao.
Labda wameogopa kumuhukumu!