Double standard ktk mkutano wa Rais: Mwenyekiti wa Halmashauri asimama imara!

JokaKuu

Platinum Member
Jul 31, 2006
30,441
55,018
..Angalia jinsi Mbunge wa CCM alivyopewa nafasi ya kuzungumza bila kukatizwa-katizwa kwa maswali yenye lengo la kumchonganisha na wapiga kura.

Halafu angalia jinsi Mbunge wa upande wa pili alivyokuwa akitafutwa. utaona kabisa kwamba alikuwa akitafutwa kwa nia ya kumuumbua kwa maswali magumu.

Bahati nzuri Mbunge huyo hakuwepo, kuliko kushiriki ziara isiyo na tija aliamua kuhudhuria vikao vya bunge Dodoma.

Lakini Mwenyekiti wa Halmashauri aliyeongea kwa niaba ya Mbunge alisimama imara na kujibu maswali yote bila kutetereka kiasi kwamba muuliza maswali akakata tamaa.

 
Unasema "Ziara isiyo na tija" wakati wewe unaifuatilia kupitia youtube!

Kwa kukusaidia lazima utambue kuwa Rais wa nchi is too big to ignore .

..haina tija kwasababu shughuli kubwa anayofanya ni kuwagawa wananchi, na kuidhalilisha taasisi anayoiongoza.

..kwa mfano kuna tija gani kutumia muda wetu kujigamba kwamba yeye ni KICHAA.

..Ukichaa ni maradhi, na siyo jambo la kujivunia.
 
..haina tija kwasababu shughuli kubwa anayofanya ni kuwagawa wananchi, na kuidhalilisha taasisi anayoiongoza.

..kwa mfano kuna tija gani kutumia muda wetu kujigamba kwamba yeye ni KICHAA.

..Ukichaa ni maradhi, na siyo jambo la kujivunia.
Huo ukichaa ivyoutafsiri ndio maana unadai Rais anawagawa wananchi.Mimi nafikiri mnajigawa wenyewe kwa propaganda zenu za kijinga.Kila anachofanya Jpm mnakigeuza ktk ubaya na kuanza kukihubiri then mnakuja na mapovu ooh katugawa.Kauli ya kichaa ni mpumbavu pekee asiyeelewa limetumika ktk mazingira gani.
 
Huwa nawashangaa sana wapinzani wanaokwenda kwenye ziara za rais. Ni wazi rais wetu hawezi siasa za ushindani hasa hawa viongozi wa cdm. Hivyo anapopata nafasi yoyote huitumia kuwadhalilisha. Ni maendeleo gani rais ataleta kwa kusubiri mikutano ya kuwadhalilisha hao viongozi wa cdm? Rais afahamu kupeleka maendeleo sehemu fulani bila kujali itikadi za kisiasa ni wajibu wake, na wala hiyo sio hisani itakayotolewa kwa wawakilishi wa wananchi kusimamishwa majukwaani. Hao viongozi wa upinzani hasa cdm kwenda kwenye ziara za Magufuli ni kutafuta fedheha tu.
 
Nimeisikiliza, na kwa maoni yangu kuna tatizo!. Mtu aliyekulia katika background ya kuswaga ng'ombe, akiwa kiongozi, ataswaga tuu, hivyo natoa wito kwa serikali yetu, tuweke utaratibu wa orientation kwa viongozi wetu na induction course ya kushika madaraka makubwa, ili viongozi wetu waongoze kwa good administrative principles za good governance na sio kuongoza kama mtu anaswaga ng'ombe!.

Kuhusu hili niliwahi kulizungumzia hapa
Anachofanya Waziri Mkuu, sio sawa, sio haki, sio good governance!, ni udhalilishaji na kuaibishana! - JamiiForums

Kiukweli, to be honesty, hiki kinachofanyika is not right!. Naona kwa sasa watu wanashangilia tuu, na mambo ya kufanya mambo kwa masifa, ni kama kupiga ngoma, ukiona ngoma inalia sana, ujue inakaribia kupasuka!, they'll come a time, kitalipiuka mtu akiwa mubashara, ngoma itawapasukia!, watu waliokuwa wakishangilia, watakuja kulia na kusaga meno!.

P.
 
Huo ukichaa ivyoutafsiri ndio maana unadai Rais anawagawa wananchi.Mimi nafikiri mnajigawa wenyewe kwa propaganda zenu za kijinga.Kila anachofanya Jpm mnakigeuza ktk ubaya na kuanza kukihubiri then mnakuja na mapovu ooh katugawa.Kauli ya kichaa ni mpumbavu pekee asiyeelewa limetumika ktk mazingira gani.

Hiyo kauli ya ukichaa hata mimi niliisikia na kwa hili naweza kumtetea Magufuli. Alitaka kumaanisha kwamba kachagua mtu mkali au wa tabia yake japo alitumia mfano wa ukichaa lakini sii ukichaa wa akili yenye hitilafu.

Ila nisikufiche mkuu, kwenye hizi ziara za Magufuli ndio utajua kwamba hawezi siasa za ushindani na ana nongwa ya wazi kwa cdm. Na nongwa hii inachangiwa na yeye kujua ukweli kwamba cdm inakubalika kuliko ccm, na anatamani aiue cdm kwa kudhani watu wote wataipenda ccm. Hili haliwezekani zaidi ya kununua baadhi ya viongozi wa cdm.
 
Huwa nawashangaa sana wapinzani wanaokwenda kwenye ziara za rais. Ni wazi rais wetu hawezi siasa za ushindani hasa hawa viongozi wa cdm. Hivyo anapopata nafasi yoyote huitumia kuwadhalilisha. Ni maendeleo gani rais ataleta kwa kusubiri mikutano ya kuwadhalilisha hao viongozi wa cdm? Rais afahamu kupeleka maendeleo sehemu fulani bila kujali itikadi za kisiasa ni wajibu wake, na wala hiyo sio hisani itakayotolewa kwa wawakilishi wa wananchi kusimamishwa majukwaani. Hao viongozi wa upinzani hasa cdm kwenda kwenye ziara za Magufuli ni kutafuta fedheha tu.
Sasa kama hao watu wawakilishi wao wanatumia nguvu kubwa kupinga mipango ya serikali kupeleka maendeleo ktk maeneo yao,Rais kupitia serikali afanye nyinyi?Wanaokwamisha maendeleo ni wapinzan uchwara ambao wao ni kupinga kila kitu bila hoja za mcng.Hivi kwamba ktk kila bajeti ya serikali huwa hakuna hata moja la maana?Au kwakua ni upinzan ni kupinga kila kitu na ukiunga mkono ni usariti?Nguvu mnayotumia upinzan haiwez kuwa tofaut na nguvu atakayotumia jpm.Kwa hesabu za kisiasa kuunga mkono jitihada za serikali ni kumfanya jpm awe juu kisiasa na hapa upinzan lzm udhoofu,kwa hili ndio maana mnapinga kila kitu lkn jpm pia naye anajua kufanya maendeleo ktk jimbo la upinzan ni kukuza upinzan, ili upinzan uonekane chenga ndio maana anapiga chini mambo yote mazur upande wa upinzan kdg sehem nyeti kama ktk majiji ambako haiwezekan.Yote kwa yote anayeumia ni mwananchi wa chini.
 
Nimeisikiliza, na kwa maoni yangu kuna tatizo!. Mtu aliyekulia katika background ya kuswaga ng'ombe, akiwa kiongozi, ataswaga tuu, hivyo natoa wito kwa serikali yetu, tuweke utaratibu wa orientation kwa viongozi wetu na induction course ya kushika madaraka makubwa, ili viongozi wetu waongoze kwa good administrative principles na sio kama mtu anaswaga ng'ombe.

Kuhusu hili niliwahi kulizungumzia hapa
Anachofanya Waziri Mkuu, sio sawa, sio haki, sio good governance!, ni udhalilishaji na kuaibishana! - JamiiForums

Kiukweli, to be honesty, hiki kinachofanyika is not right!. Naona kwa sasa watu wanashangilia tuu, na mambo ya kufanya mambo kwa masifa, ni kama kupiga ngoma, ukiona ngoma inalia sana, ujue inakaribia kupasuka!, they'll come a time, kitalipiuka mtu akiwa mubashara, ngoma itawapasukia!, watu waliokuwa wakishangilia, watakuja kulia na kusaga meno!.

P.
Sasa unaongea.
Hongera paschal mayalla
 
Huo ukichaa ivyoutafsiri ndio maana unadai Rais anawagawa wananchi.Mimi nafikiri mnajigawa wenyewe kwa propaganda zenu za kijinga.Kila anachofanya Jpm mnakigeuza ktk ubaya na kuanza kukihubiri then mnakuja na mapovu ooh katugawa.Kauli ya kichaa ni mpumbavu pekee asiyeelewa limetumika ktk mazingira gani.

..haya mambo hayataki hasira ndugu yangu.

..kwa heshima na hadhi ya taasisi anayoiongoza hakupaswa kutoa kauli kwamba yeye na waziri wake ni VICHAA.
 
nimeona leo jinsi mbunge wa serengeti alivyodhalilishwa. kwa weli huyu mbunge ana moyo. ni udhalilishaji uliopitiliza.....
Hahahaha Wana CCM wamemzomea akajitetea kuwa nae anaweza kuwa mwanaccm, hapo ndo nmejua upinzani wa maneno bila maendeleo utafutika mda sio mrefu
 
Nimeisikiliza, na kwa maoni yangu kuna tatizo!. Mtu aliyekulia katika background ya kuswaga ng'ombe, akiwa kiongozi, ataswaga tuu, hivyo natoa wito kwa serikali yetu, tuweke utaratibu wa orientation kwa viongozi wetu na induction course ya kushika madaraka makubwa, ili viongozi wetu waongoze kwa good administrative principles za good governance na sio kuongoza kama mtu anaswaga ng'ombe!.

Kuhusu hili niliwahi kulizungumzia hapa
Anachofanya Waziri Mkuu, sio sawa, sio haki, sio good governance!, ni udhalilishaji na kuaibishana! - JamiiForums

Kiukweli, to be honesty, hiki kinachofanyika is not right!. Naona kwa sasa watu wanashangilia tuu, na mambo ya kufanya mambo kwa masifa, ni kama kupiga ngoma, ukiona ngoma inalia sana, ujue inakaribia kupasuka!, they'll come a time, kitalipiuka mtu akiwa mubashara, ngoma itawapasukia!, watu waliokuwa wakishangilia, watakuja kulia na kusaga meno!.

P.
Well said!
 
Nimeisikiliza, na kwa maoni yangu kuna tatizo!. Mtu aliyekulia katika background ya kuswaga ng'ombe, akiwa kiongozi, ataswaga tuu, hivyo natoa wito kwa serikali yetu, tuweke utaratibu wa orientation kwa viongozi wetu na induction course ya kushika madaraka makubwa, ili viongozi wetu waongoze kwa good administrative principles za good governance na sio kuongoza kama mtu anaswaga ng'ombe!.

Kuhusu hili niliwahi kulizungumzia hapa
Anachofanya Waziri Mkuu, sio sawa, sio haki, sio good governance!, ni udhalilishaji na kuaibishana! - JamiiForums

Kiukweli, to be honesty, hiki kinachofanyika is not right!. Naona kwa sasa watu wanashangilia tuu, na mambo ya kufanya mambo kwa masifa, ni kama kupiga ngoma, ukiona ngoma inalia sana, ujue inakaribia kupasuka!, they'll come a time, kitalipiuka mtu akiwa mubashara, ngoma itawapasukia!, watu waliokuwa wakishangilia, watakuja kulia na kusaga meno!.

P.
Kwa hiyo Lowasa wako kakulia kwenye nini?
 
Back
Top Bottom