JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
..Angalia jinsi Mbunge wa CCM alivyopewa nafasi ya kuzungumza bila kukatizwa-katizwa kwa maswali yenye lengo la kumchonganisha na wapiga kura.
Halafu angalia jinsi Mbunge wa upande wa pili alivyokuwa akitafutwa. utaona kabisa kwamba alikuwa akitafutwa kwa nia ya kumuumbua kwa maswali magumu.
Bahati nzuri Mbunge huyo hakuwepo, kuliko kushiriki ziara isiyo na tija aliamua kuhudhuria vikao vya bunge Dodoma.
Lakini Mwenyekiti wa Halmashauri aliyeongea kwa niaba ya Mbunge alisimama imara na kujibu maswali yote bila kutetereka kiasi kwamba muuliza maswali akakata tamaa.
Halafu angalia jinsi Mbunge wa upande wa pili alivyokuwa akitafutwa. utaona kabisa kwamba alikuwa akitafutwa kwa nia ya kumuumbua kwa maswali magumu.
Bahati nzuri Mbunge huyo hakuwepo, kuliko kushiriki ziara isiyo na tija aliamua kuhudhuria vikao vya bunge Dodoma.
Lakini Mwenyekiti wa Halmashauri aliyeongea kwa niaba ya Mbunge alisimama imara na kujibu maswali yote bila kutetereka kiasi kwamba muuliza maswali akakata tamaa.