lidoda
JF-Expert Member
- Apr 27, 2008
- 641
- 574
DOUBLE NATIONALITIES
Serikali imekataza kuwa na uraia zaidi ya uraia mmoja. Yaani kama wewe ni mtanzania huruhusiwi kuwa na uraia zaidi ya Utanzania. Inasemekana Balali alikuwa na uraia mwingine yaani wa Kimarekani licha ya kuwa Mtanzania. Kama ni hivyo kweli kwa nini Tanzania iliruhusu Marehemu kushika wadhifa mkubwa kama huo?
Serikali imekataza kuwa na uraia zaidi ya uraia mmoja. Yaani kama wewe ni mtanzania huruhusiwi kuwa na uraia zaidi ya Utanzania. Inasemekana Balali alikuwa na uraia mwingine yaani wa Kimarekani licha ya kuwa Mtanzania. Kama ni hivyo kweli kwa nini Tanzania iliruhusu Marehemu kushika wadhifa mkubwa kama huo?