KUCHITIMBO1970
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 482
- 221
NAONA KINYAA KUCHANGIA PIA NAOGOPA KUCHANGIA MAANA NAWEZA SWEKWA KOROKORONI NA FUNGUO KUTUPWA BAHARINI.
Sisi matumishi ya umma nyoko zetu wacha tukome!Hakuna kuongeza mishahara mpaka mtakapopata akili.
Jamaa ni Critical Thinker.Kwa ukweli huyu Bulendu ni mtangazaji mwenye uelewa sana .Siyo mtu wa kujipendekeza kwa watawala kwani ktk Intavyu zote huendesha bila upendeleo wa kichama japokuwa boss wake ni mtu mwenye uchama
Sent using Jamii Forums mobile app
Changia upimwe mkojo kwa mkemia.NAONA KINYAA KUCHANGIA PIA NAOGOPA KUCHANGIA MAANA NAWEZA SWEKWA KOROKORONI NA FUNGUO KUTUPWA BAHARINI.
haaahaaaaaahaaaa,Tanzania ya kwanza kwa maajabu duniani.Changia upimwe mkojo kwa mkemia.
Wanapiga simu kwenye vyombo vya habari kwani ndiyo muajjri wao?Vyumba vingi vya habari kwa sasa vinapokea ujumbe kutoka kwa watumishi wa umma,wengi wao wanauliza hatma ya kupandishwa madaraja na nyongeza ya mishahara!.
Wanasema huu ni mwaka wa tatu sasa hawana nyongeza ya mshahara na wengine hawajapandishwa madaraja!.Serikali ilifafanue hili ama ilitatue mapema isije ikatengeneza "Go slow strike" kwa watumishi wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maneno yanayo kereketa masikioni mwa serikali yanadhibitika kwa kupima mkojo wa anaye tuhumiwa kuya tamka.haaahaaaaaahaaaa,Tanzania ya kwanza kwa maajabu duniani.
Ngorongoro,serengeti hata kwenye vichwa vya watu kote ni maajabu tu
Nyie kama hamja mjua mjua rais wenu anapenda kufanya vitu ambavyo vinaonekana kwa wananchi wa chini hasa wale KKK. maslahi ya watumishi haliongeleki jukwaaani ndio tatizo na hata akiliongea hilo ,wananchi hasa KKK hawata mpigia makofi na vigelegele, mtasubiri sana watumishi wa umma , kama hamtaki acheni kazi kinyume na hapo subirini 2019Serikali ipo busy na barabara tukimaliza tutawajali watumishi na hapo ni mpaka 2020 september. Mtaisoma namba .
Startv imerudi hewani?
TRA inakusanya tril.1.3 kwa mwezi na juzi walikusanya bil.32 Kodi ya majengoVyumba vingi vya habari kwa sasa vinapokea ujumbe kutoka kwa watumishi wa umma,wengi wao wanauliza hatma ya kupandishwa madaraja na nyongeza ya mishahara!.
Wanasema huu ni mwaka wa tatu sasa hawana nyongeza ya mshahara na wengine hawajapandishwa madaraja!.Serikali ilifafanue hili ama ilitatue mapema isije ikatengeneza "Go slow strike" kwa watumishi wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila kusahau kupimwa mkojoNAONA KINYAA KUCHANGIA PIA NAOGOPA KUCHANGIA MAANA NAWEZA SWEKWA KOROKORONI NA FUNGUO KUTUPWA BAHARINI.