Juma chief
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 2,757
- 2,353
Acheni kumpunguza salim uweledi wake ktk tasnia Ya Habari,ktk nchi za kiafrika ambazo ni dhambi kuwa mkweli na muwazi kwa kiongozi lazima mwandishi anaetaka kufanya mahojiano na mkuu wa nchi awasilishe maswali yake na yapimwe kwenye kujibika na kuangaliwa majibu yake yatakuwa na matokeo gani yakijibiwa na mkuu huyo..??.unaeza kuta salim alishaelekezwa njia Ya kupita.. Kwa hiyo tusilaumu sana, kikubwa amepata fursa na imesaidia kuelewa sasa Madame president amesimamia wapi kwenye sakata la FAM na yanayoendelea kwa sasa nchini..