Dotto Bulendu: Soka limekabidhiwa wanasiasa na wasanii ndio tutarajie ushindi dhidi ya Uganda? Wanasoka wetu wastaafu hawapo? Hawathaminiwi?

..."mwandishi katumwa na mabeberu na sio mzalendo" ...wengine hatujawahi kunywa hata bia tunajiandaa kuzianza siku hiyo ya nusu bei alafu wewe mwandishi unataka kutuvurugia!
 
Binafsi hiyo kamati haiwezi kunihamasisha hata kidogo mimi na familia yangu kwenda kuiangalia T stars bali mapenzi yangu ya mpira ndo yatafanya hivyo na nitaishangilia T. Stars si kwasababu ya kuhamasishwa na hao wahuni
 
Ikicheza SIMBA uwanja unajaa mpk unamwagika..icheze Taifa stars nategemeaga uwanja ukose nafasi ila inakuaga Kinyume sjui kwann
 
Game haina ladha UG kashapita... Pale itakuwa ni bongo muvi tuu hamna cha kujisifia
 
Kule Ulaya na mataifa mengine ambayo yameendelea kisoka,inapotokea kunahitajika hamasa kubwa ya kujenga morali kwa wachezaji na mashabiki basi wale wachezaji Nguli wastaafu hutumika sana kuhamasisha morali ya ushindi.

Hii hutumiwa sana na Vilabu vikubwa duniani ama timu za taifa ambapo wakongwe(Legendaries) huwekwa jukwaani sehemu maalum kabisa ikiaminika kuwa wale waliopo uwanjani wakitazama jukwaani na kuwaona wakongwe morali inapanda na hata kwenye kujenga hamasa wachezaji waliocheza kwa mafanikio hutumika sana.

Sasa nakaribu kutazama mbinu inayotumiwa na kamati maalum ya kuhamasisha ushindi wa timu ya Taifa hapo keshokutwa.

Kwenye mkutano wao na waandishi wa
habari,mbali na kuwajumuisha waandishi wa michezo,lakini naona inawatumia zaidi waigizaji maarufu nchini akina Wema,Shilole,Steve Nyerere n.k na kuwaweka kando wanasoka waliocheza kwa mafanikio miaka ya nyuma.

Kwa nini kamati inaacha kuwatumia wanasoka waliowika miaka ya nyuma inakimbilia kuwatumia waigizaji?kwa nini tusiandae vipande vya vidio vya wanasoka waliowika huko nyuma wakiwahamasisha vijana wetu na wanasoka hawa siku ya jumapili wakatengewa eneo maalum pale Jukwaani?

Kwa nini tumewatenga wanasoka walio hai ambao waliipekea Tanzania katika fainali za mataifa huru Afrika mwaka 1980 kama
sehemu ya hamasa kwa wachezaji na Watanzania?

Kwa nini tusiwarekodi na hata kwenda nao kwenye "Press Conference" wachezaji wakongwe waliocheza fainali hizi na wakasema neno la hamasa kwa watanzania na hata tukawaambia watanzania wajae uwanjani waungane na wakongwe pekee waliofuzu fainali hizi kutoka Tanzania na badala yake tunawatumia akina Wema pekee?

Nafahamu akina Wema wanamashabiki nyuma,lakini katika hili la Jumapili hebu tunatumie zaidi wachezaji wetu waliocheza kwa mafanikio wakati wao.

Mbali na akina Tenga waliokuwemo kwenye kikosi cha Stars kilichofuzu fainali hizi pekee,kwa nini pia tusiwatumie wanasoka waliocheza kwa mafanikio kwenye Vilabu na hata kufika ngazi ya juu?

Waliokuwemo kwenye Kikosi cha Simba kilichocheza Fainali za kombe la Shirikilo la Soka Afrika mwaka 1991 na walicheza timu ya taifa wengi wao wapo,kwa nini tusiwatumie hawa kama sehemu ya hamasa?

Walioifikisha Yanga hatua ya makundi ya klabu bingwa Afrika kwa mara ya kwanza mwaka 1998 bado wapo kwa nini tusiwatumie kama sehemu ya hamasa na badala yake tunawatumia zaidi waigizaji na waimba muziki?

Tunapowatumia waigizaji na waimba Muziki kuhamaisha ushindi wa Stars,tusiwaache wachezaji nguli wa zamani akina Leodigar Tenga,Sunday Manara,Abdalah Kibaden,Juma Pondamali,Adolf Richard,Zamoyoni Mogella,Mohamed Mwameja,Ken Mkapa ,Peter Tino
mfumgaji wa bao la
Star lililoipeleka Tanzania kwenye fainali za
mataifa huru na wengine wengi katika kuhamasisha wachezaji,kuhamasisha mashabiki ili jumapili tupate ushindi.
#nizamuyetu
Eti wema sepeto nae anahamasisha?? mtu ambaye hajui lolote kuhusu mpira.
 
Naona Mpira umegeuka mtaji wa kisiasa. Kama ambavyo mnatarajia kupewa pongezi na sifa lukuki pindi timu itakapofanya vizuri muwe tayari pia kubeba lawama timu itapofanya hovyo.
.....
Maana Naona Wahamasishaji na washauri wa Taifa Stars ni wasanii na waigizaji wakati wenye mpira wao wamebaki wasikilizaji.
Kule Ulaya na mataifa mengine ambayo yameendelea kisoka,inapotokea kunahitajika hamasa kubwa ya kujenga morali kwa wachezaji na mashabiki basi wale wachezaji Nguli wastaafu hutumika sana kuhamasisha morali ya ushindi.

Hii hutumiwa sana na Vilabu vikubwa duniani ama timu za taifa ambapo wakongwe(Legendaries) huwekwa jukwaani sehemu maalum kabisa ikiaminika kuwa wale waliopo uwanjani wakitazama jukwaani na kuwaona wakongwe morali inapanda na hata kwenye kujenga hamasa wachezaji waliocheza kwa mafanikio hutumika sana.

Sasa nakaribu kutazama mbinu inayotumiwa na kamati maalum ya kuhamasisha ushindi wa timu ya Taifa hapo keshokutwa.

Kwenye mkutano wao na waandishi wa
habari,mbali na kuwajumuisha waandishi wa michezo,lakini naona inawatumia zaidi waigizaji maarufu nchini akina Wema,Shilole,Steve Nyerere n.k na kuwaweka kando wanasoka waliocheza kwa mafanikio miaka ya nyuma.

Kwa nini kamati inaacha kuwatumia wanasoka waliowika miaka ya nyuma inakimbilia kuwatumia waigizaji?kwa nini tusiandae vipande vya vidio vya wanasoka waliowika huko nyuma wakiwahamasisha vijana wetu na wanasoka hawa siku ya jumapili wakatengewa eneo maalum pale Jukwaani?

Kwa nini tumewatenga wanasoka walio hai ambao waliipekea Tanzania katika fainali za mataifa huru Afrika mwaka 1980 kama
sehemu ya hamasa kwa wachezaji na Watanzania?

Kwa nini tusiwarekodi na hata kwenda nao kwenye "Press Conference" wachezaji wakongwe waliocheza fainali hizi na wakasema neno la hamasa kwa watanzania na hata tukawaambia watanzania wajae uwanjani waungane na wakongwe pekee waliofuzu fainali hizi kutoka Tanzania na badala yake tunawatumia akina Wema pekee?

Nafahamu akina Wema wanamashabiki nyuma,lakini katika hili la Jumapili hebu tunatumie zaidi wachezaji wetu waliocheza kwa mafanikio wakati wao.

Mbali na akina Tenga waliokuwemo kwenye kikosi cha Stars kilichofuzu fainali hizi pekee,kwa nini pia tusiwatumie wanasoka waliocheza kwa mafanikio kwenye Vilabu na hata kufika ngazi ya juu?

Waliokuwemo kwenye Kikosi cha Simba kilichocheza Fainali za kombe la Shirikilo la Soka Afrika mwaka 1991 na walicheza timu ya taifa wengi wao wapo,kwa nini tusiwatumie hawa kama sehemu ya hamasa?

Walioifikisha Yanga hatua ya makundi ya klabu bingwa Afrika kwa mara ya kwanza mwaka 1998 bado wapo kwa nini tusiwatumie kama sehemu ya hamasa na badala yake tunawatumia zaidi waigizaji na waimba muziki?

Tunapowatumia waigizaji na waimba Muziki kuhamaisha ushindi wa Stars,tusiwaache wachezaji nguli wa zamani akina Leodigar Tenga,Sunday Manara,Abdalah Kibaden,Juma Pondamali,Adolf Richard,Zamoyoni Mogella,Mohamed Mwameja,Ken Mkapa ,Peter Tino
mfumgaji wa bao la
Star lililoipeleka Tanzania kwenye fainali za
mataifa huru na wengine wengi katika kuhamasisha wachezaji,kuhamasisha mashabiki ili jumapili tupate ushindi.
#nizamuyetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unafiki ndo mwingi watu hawataki kuusema ukweli, na kama hakuna maandalizi, unaqualify kwenda kushiriki au kushindana...
Nilikasirika sana, Rais anawaita Ikulu anawapa mpaka 50m tena anasisitiza zikalete matokeo, wanaenda kufungwa kijinga kabisa, Lesotho wanakuja Chamazi wanakunywa nao madafu na kuwaachia point moja.
Me naomba Uganda wakaze kabisa, wasijekuharibu rekodi yao na yule goalkeeper wao amaintain cleensheet yake
*Uzalendo siyo unafiki wa kusifia kilicho kibovu*
Nimemsikiliza Shishi baby.. Hata hana clue tunashiriki kwenye shindano gani, hata hajui Afcon ina maana gani.. Hao wengine hali kadhalika.. Wameshaharibu kwenye siasa, kwenye tasnia zao za uigizaji, sasa wamewaleta kuja kuharibu fani ya mpira wa miguu.. Yaani kazi yao kutafuta sehemu zinazovuma ili wapate kiki.. It's very sad aisee..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kule Ulaya na mataifa mengine ambayo yameendelea kisoka,inapotokea kunahitajika hamasa kubwa ya kujenga morali kwa wachezaji na mashabiki basi wale wachezaji Nguli wastaafu hutumika sana kuhamasisha morali ya ushindi.

Hii hutumiwa sana na Vilabu vikubwa duniani ama timu za taifa ambapo wakongwe(Legendaries) huwekwa jukwaani sehemu maalum kabisa ikiaminika kuwa wale waliopo uwanjani wakitazama jukwaani na kuwaona wakongwe morali inapanda na hata kwenye kujenga hamasa wachezaji waliocheza kwa mafanikio hutumika sana.

Sasa nakaribu kutazama mbinu inayotumiwa na kamati maalum ya kuhamasisha ushindi wa timu ya Taifa hapo keshokutwa.

Kwenye mkutano wao na waandishi wa
habari,mbali na kuwajumuisha waandishi wa michezo,lakini naona inawatumia zaidi waigizaji maarufu nchini akina Wema,Shilole,Steve Nyerere n.k na kuwaweka kando wanasoka waliocheza kwa mafanikio miaka ya nyuma.

Kwa nini kamati inaacha kuwatumia wanasoka waliowika miaka ya nyuma inakimbilia kuwatumia waigizaji?kwa nini tusiandae vipande vya vidio vya wanasoka waliowika huko nyuma wakiwahamasisha vijana wetu na wanasoka hawa siku ya jumapili wakatengewa eneo maalum pale Jukwaani?

Kwa nini tumewatenga wanasoka walio hai ambao waliipekea Tanzania katika fainali za mataifa huru Afrika mwaka 1980 kama
sehemu ya hamasa kwa wachezaji na Watanzania?

Kwa nini tusiwarekodi na hata kwenda nao kwenye "Press Conference" wachezaji wakongwe waliocheza fainali hizi na wakasema neno la hamasa kwa watanzania na hata tukawaambia watanzania wajae uwanjani waungane na wakongwe pekee waliofuzu fainali hizi kutoka Tanzania na badala yake tunawatumia akina Wema pekee?

Nafahamu akina Wema wanamashabiki nyuma,lakini katika hili la Jumapili hebu tunatumie zaidi wachezaji wetu waliocheza kwa mafanikio wakati wao.

Mbali na akina Tenga waliokuwemo kwenye kikosi cha Stars kilichofuzu fainali hizi pekee,kwa nini pia tusiwatumie wanasoka waliocheza kwa mafanikio kwenye Vilabu na hata kufika ngazi ya juu?

Waliokuwemo kwenye Kikosi cha Simba kilichocheza Fainali za kombe la Shirikilo la Soka Afrika mwaka 1991 na walicheza timu ya taifa wengi wao wapo,kwa nini tusiwatumie hawa kama sehemu ya hamasa?

Walioifikisha Yanga hatua ya makundi ya klabu bingwa Afrika kwa mara ya kwanza mwaka 1998 bado wapo kwa nini tusiwatumie kama sehemu ya hamasa na badala yake tunawatumia zaidi waigizaji na waimba muziki?

Tunapowatumia waigizaji na waimba Muziki kuhamaisha ushindi wa Stars,tusiwaache wachezaji nguli wa zamani akina Leodigar Tenga,Sunday Manara,Abdalah Kibaden,Juma Pondamali,Adolf Richard,Zamoyoni Mogella,Mohamed Mwameja,Ken Mkapa ,Peter Tino
mfumgaji wa bao la
Star lililoipeleka Tanzania kwenye fainali za
mataifa huru na wengine wengi katika kuhamasisha wachezaji,kuhamasisha mashabiki ili jumapili tupate ushindi.
#nizamuyetu
Okwi....okwi....okwi....

Viva Uganda
 
Nimeelewa kwamba washabiki wa football na washabiki wa bongo movie ni watu tofauti! Muda upo lakini watafutwe wakongwe kina Peter tino, leodiga Tenga, kina pawasa, etc waje wahamasishe! Halafu ile nusu bei kwa nn isianze asubui twende uwanjan tukiwa vizur kama waingereza!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona kila jambo linakuja kisiasa.Mpira unachezwa Dar na Makonda ni mkuu wa mkoa wa Dar. Haya basis na nyie wekeni mkuu wa mkoa KIVULI ili ibalance.
Kule Ulaya na mataifa mengine ambayo yameendelea kisoka,inapotokea kunahitajika hamasa kubwa ya kujenga morali kwa wachezaji na mashabiki basi wale wachezaji Nguli wastaafu hutumika sana kuhamasisha morali ya ushindi.

Hii hutumiwa sana na Vilabu vikubwa duniani ama timu za taifa ambapo wakongwe(Legendaries) huwekwa jukwaani sehemu maalum kabisa ikiaminika kuwa wale waliopo uwanjani wakitazama jukwaani na kuwaona wakongwe morali inapanda na hata kwenye kujenga hamasa wachezaji waliocheza kwa mafanikio hutumika sana.

Sasa nakaribu kutazama mbinu inayotumiwa na kamati maalum ya kuhamasisha ushindi wa timu ya Taifa hapo keshokutwa.

Kwenye mkutano wao na waandishi wa
habari,mbali na kuwajumuisha waandishi wa michezo,lakini naona inawatumia zaidi waigizaji maarufu nchini akina Wema,Shilole,Steve Nyerere n.k na kuwaweka kando wanasoka waliocheza kwa mafanikio miaka ya nyuma.

Kwa nini kamati inaacha kuwatumia wanasoka waliowika miaka ya nyuma inakimbilia kuwatumia waigizaji?kwa nini tusiandae vipande vya vidio vya wanasoka waliowika huko nyuma wakiwahamasisha vijana wetu na wanasoka hawa siku ya jumapili wakatengewa eneo maalum pale Jukwaani?

Kwa nini tumewatenga wanasoka walio hai ambao waliipekea Tanzania katika fainali za mataifa huru Afrika mwaka 1980 kama
sehemu ya hamasa kwa wachezaji na Watanzania?

Kwa nini tusiwarekodi na hata kwenda nao kwenye "Press Conference" wachezaji wakongwe waliocheza fainali hizi na wakasema neno la hamasa kwa watanzania na hata tukawaambia watanzania wajae uwanjani waungane na wakongwe pekee waliofuzu fainali hizi kutoka Tanzania na badala yake tunawatumia akina Wema pekee?

Nafahamu akina Wema wanamashabiki nyuma,lakini katika hili la Jumapili hebu tunatumie zaidi wachezaji wetu waliocheza kwa mafanikio wakati wao.

Mbali na akina Tenga waliokuwemo kwenye kikosi cha Stars kilichofuzu fainali hizi pekee,kwa nini pia tusiwatumie wanasoka waliocheza kwa mafanikio kwenye Vilabu na hata kufika ngazi ya juu?

Waliokuwemo kwenye Kikosi cha Simba kilichocheza Fainali za kombe la Shirikilo la Soka Afrika mwaka 1991 na walicheza timu ya taifa wengi wao wapo,kwa nini tusiwatumie hawa kama sehemu ya hamasa?

Walioifikisha Yanga hatua ya makundi ya klabu bingwa Afrika kwa mara ya kwanza mwaka 1998 bado wapo kwa nini tusiwatumie kama sehemu ya hamasa na badala yake tunawatumia zaidi waigizaji na waimba muziki?

Tunapowatumia waigizaji na waimba Muziki kuhamaisha ushindi wa Stars,tusiwaache wachezaji nguli wa zamani akina Leodigar Tenga,Sunday Manara,Abdalah Kibaden,Juma Pondamali,Adolf Richard,Zamoyoni Mogella,Mohamed Mwameja,Ken Mkapa ,Peter Tino
mfumgaji wa bao la
Star lililoipeleka Tanzania kwenye fainali za
mataifa huru na wengine wengi katika kuhamasisha wachezaji,kuhamasisha mashabiki ili jumapili tupate ushindi.
#nizamuyetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nimekuelewa mleta mada! ila sidhani kama tutafuzu maana tulishindwa kutumia vizuri ile mechi ya chamanzi complex dhidi ya LESOTHO. Uganda wana clean sheet hawajafungwa goli hata moja kwenye haya mashindano

AMUNIKE sio kocha mzuri naona kama mbabaishaji tu anaweza kukupangia kikosi tusichotegemea hasa kwenye midfield, techical benchi linaongozwa na Ammy ninje tayari lina ukakasi.

ikitokea tumefungwa itakuwa bahati mbaya... maana tulikosea hapo mwanzoni tujipange next game.

kila la heri Taifa Stars nitawashangilia mwanzo mwisho
 
Wapelekewe wachezaji clip zile za ngono za Wema labda watapata hamasa! hakika Makonda hajawahi kuwaza positively hata siku moja.
MAKONDA NI MSHAMBA, ANADHANI YEYE NA MKEWE WANAVYO ANGALIA MOVIE ZA BONGO NA SHILAWADU BASI WOTE TUNAPENDA. AJUE HAO KWETU WENGINE NI TAKA CHAFU!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom