Elections 2010 Dosari za Magufuli hizi hapa

Kashaijabutege

JF-Expert Member
Oct 20, 2010
2,696
740
1. Ni stageshow. Anapenda kuonekana anapotenda jema na anaongea kwa nguvu ili watu wamjue kuwa katenda. Ni mfuasi wa Mrema style.
2. Ni msafi wa nje tu: Anajionyesha kwa watu kuwa ni msafi, lakini sivyo alivyo. Yeye si mwizi wa kujilimbikiza mali, bali ni "mwizi" wa kuwaangalizia wanaoiba wasishikwe. Kwa mfano, ilikuwa busara gani yeye kukubali nyumba 'za serikali' nyingi zilizojengwa na wakoloni ziuzwe kwa viongozi wa sasa wa CCM? Alisema Dr Slaa, inakuwaje hajawahi kuchoma nyavu zikiwa madukani (wauzaji), bali anachoma za wavuvi maskini?
3.Anaamini sana takwimu: Takwimu zinasaidia kuamua, lakini si za kuaminisha asilimia 100%.

NINAMPENDA MAGUFULI KWANI ANAWEZA KAZI NGUMU ZA KUKIMBIA KIMBIA, BUT HE IS NOT A STRATEGIC THINKER.
 
acheni fitina Magufili anafanya kazi nzuri sana! kawakamata wezi wasamaki serikali imewachekea tuu! mlitaka afanye nini zaidi ya hilo na huyo mnayedhani ni mzuri kafanya nini! mtoto wa mkulima tumemwona na sasa amebaki kuwa Msukule tuu!!!
 
Nilisikiaga kuwa anaendekeza hizi issues.....

DSC_6672.JPG
 
Tatizo CCM hawawezi kutoa Waziri Mkuu kwenye makabila "influential" - ukichukia haya shauri yako, japo haijaandikwa mahali bali huo ndio kumuenzi JKN (RIP).
 
acheni fitina Magufili anafanya kazi nzuri sana! kawakamata wezi wasamaki serikali imewachekea tuu! mlitaka afanye nini zaidi ya hilo na huyo mnayedhani ni mzuri kafanya nini! mtoto wa mkulima tumemwona na sasa amebaki kuwa Msukule tuu!!!

Hivi zile nyumba alizo zifisadi alishazirudisha?
 
Hivi zile nyumba alizo zifisadi alishazirudisha?
unajua mkuu tunaenda kwa system hii habari hakuamua yeye peke yake ilitoka juu! Mi sioni tatizo kama iliamuliwa na kina ben na yeye kama mtekelezaji akatekeleza!
 
1. Ni stageshow. Anapenda kuonekana anapotenda jema na anaongea kwa nguvu ili watu wamjue kuwa katenda. Ni mfuasi wa Mrema style.
2. Ni msafi wa nje tu: Anajionyesha kwa watu kuwa ni msafi, lakini sivyo alivyo. Yeye si mwizi wa kujilimbikiza mali, bali ni "mwizi" wa kuwaangalizia wanaoiba wasishikwe. Kwa mfano, ilikuwa busara gani yeye kukubali nyumba 'za serikali' nyingi zilizojengwa na wakoloni ziuzwe kwa viongozi wa sasa wa CCM? Alisema Dr Slaa, inakuwaje hajawahi kuchoma nyavu zikiwa madukani (wauzaji), bali anachoma za wavuvi maskini?
3.Anaamini sana takwimu: Takwimu zinasaidia kuamua, lakini si za kuaminisha asilimia 100%.

NINAMPENDA MAGUFULI KWANI ANAWEZA KAZI NGUMU ZA KUKIMBIA KIMBIA, BUT HE IS NOT A STRATEGIC THINKER.

Huenda ukawa sahihi lakini tunaweza kumfananisha na Lowassa ambaye ni mchapa kazi mzuri na mtu wa maamuzi lakini hafai?

Ni kweli Magufuli ana madhaifu yake mengi kama mwanadamu mwingine yoyote ila ikumbukwe kuwa tunatafuta kiongozi ambaye atakuwa angalau na unafuu fulani na kujali mali za nchi hii na hapa hatutafuti malaika kuja kuliongoza Taifa hili na nina imani kubwa atakuwa na watu wa kumshauri vizuri kulingana na aina ya uongazi wake na kuhusu nyumba za serikali kwanza nyingi hazikujengwa na serikali ila waliwanyang'anya wageni kama wazungu na wahindi waarabu nk. Na ilifika mahali ulikua ni mradi wa wakubwa fulani gharama za kufanyia matengenezo nyumba moja tu ni bora kuenga zingine mbili kifupi ulikuwa uchochoro wa kutisha malipo hewa ya wakubwa fulan na tena usisahau kuwa alikuwa anafuata wakubwa wake Sumaye na Ben wanataka nini apewe nafasi ajaribu. Akichemsha atapewa mwingine mwenye uwezo na watanzania wengi wanampenda siyo kwa kumwona bali kwa kazi ambazo tayari alikwisha kuzifanya
Tuache majungu na kukosoa tu bila kuhesabu mazuri ambayo tayari kuyafanyia taifa hili.
 
Acheni majungu na fitna kwa watu wanaofanya kazi za wananchi na siyo za mafisadi. Ndiyo tunaelewa kuwa hakuna mtu aliyekamilika kwa 100% lakini kwa hayo unayoyazusha kwa Magufulu ni vigumu mno jamii kukuelewa. Hebu tafakari, ni waziri yupi aliyeweka rekodi kama ya Magufuli kwa ufanisi anaopata kila anapopewa wizara hata zile ambazo wengine mlifikiri kuwa hazina mchango wowote katika ukuzaji wa mapato ya serikali?
Hayo unayotaka kutuaminisha ni dhahiri kuwa umetumwa na mafisadi uanze kumchafua mtu muhimu katika uongozi wa nchi yetu. Tunamhitaji sana magufuli hata kama ataomba kugombea uraisi 2015 ni mtu anayefaa na anaweza. Tunachotaka kuona kutoka kwa viongozi ni matokeo mazuri ya kazi zao. Magufuli ameweza kutoa matokeo mazuri kwenye kila wizara aliyopewa.
 
1. Ni stageshow. Anapenda kuonekana anapotenda jema na anaongea kwa nguvu ili watu wamjue kuwa katenda. Ni mfuasi wa Mrema style.
2. Ni msafi wa nje tu: Anajionyesha kwa watu kuwa ni msafi, lakini sivyo alivyo. Yeye si mwizi wa kujilimbikiza mali, bali ni "mwizi" wa kuwaangalizia wanaoiba wasishikwe. Kwa mfano, ilikuwa busara gani yeye kukubali nyumba 'za serikali' nyingi zilizojengwa na wakoloni ziuzwe kwa viongozi wa sasa wa CCM? Alisema Dr Slaa, inakuwaje hajawahi kuchoma nyavu zikiwa madukani (wauzaji), bali anachoma za wavuvi maskini?
3.Anaamini sana takwimu: Takwimu zinasaidia kuamua, lakini si za kuaminisha asilimia 100%.

NINAMPENDA MAGUFULI KWANI ANAWEZA KAZI NGUMU ZA KUKIMBIA KIMBIA, BUT HE IS NOT A STRATEGIC THINKER.

Mazuri yake?
 
1. Ni stageshow. Anapenda kuonekana anapotenda jema na anaongea kwa nguvu ili watu wamjue kuwa katenda. Ni mfuasi wa Mrema style.
2. Ni msafi wa nje tu: Anajionyesha kwa watu kuwa ni msafi, lakini sivyo alivyo. Yeye si mwizi wa kujilimbikiza mali, bali ni "mwizi" wa kuwaangalizia wanaoiba wasishikwe. Kwa mfano, ilikuwa busara gani yeye kukubali nyumba 'za serikali' nyingi zilizojengwa na wakoloni ziuzwe kwa viongozi wa sasa wa CCM? Alisema Dr Slaa, inakuwaje hajawahi kuchoma nyavu zikiwa madukani (wauzaji), bali anachoma za wavuvi maskini?
3.Anaamini sana takwimu: Takwimu zinasaidia kuamua, lakini si za kuaminisha asilimia 100%.

NINAMPENDA MAGUFULI KWANI ANAWEZA KAZI NGUMU ZA KUKIMBIA KIMBIA, BUT HE IS NOT A STRATEGIC THINKER.
Huu ni utumbo una lako jambo:
Naomba uelewe huwezi pata mtu msafi kwa 100% hata wewe siyo msafi 100%, kwani uamzi wakuuza nyumba za serikali ulikuwa wana nani na unajua malengo yalikuwa ni nini, nina vyofahamu mimi ilikuwa serikali iwe inajenga nyumba na kuwa uzia watu kwa kuanza na wafanyakazi wa serika kw bei nafuu na walikuwa wamepanga kuwatumia JWT ambao wanaujuzi mkubwa na kwasasa hivi wanaota vitambi tu hawana kazi yoyote. leo hii kama Magufuli angekuwa bado wizara ile ile tunge kuwa mbali sana, alisimamia magari yote ya serikari yaliyokuwa wamechukuliwa na mafisadi wote tuliona mpaka wakaanza kumsakama na kumtishia maisha hali iliyo pelekea kuwekewa ulizi maalum kipindi cha Mkapa, kama kuna mafanikio yaliyo patika kipindi cha Mkapa kwa nafasi kubwa Magufuli alichangia sana, Mafisadi walifanikiwa kumpa sumu akaenda kuponea ujerumani...Ni bifu la JK kumweka kwenye wizara ambayo siyo saizi yake kwa kweli ndiyo maana sitegemei kupewa uwaziri mkuu...Mnyonge mnyoneni lakini haki yake mpeni
 
Nyerere aliwahi kusema ,watanzania wanapenda kuangalia makosa tu,hali halisi kuna mazuri mengi tu ambayo kama ungeyapiama basi usingeweza hata kuandika utumbo wako...:nono::nono::nono:
 
Kuna tetesi kuwa wale samaki waliobatizwa jina la samaki wa magufuli alitengeneza pesa nzuri kama kamisheni ya kuwahifadhi kwa mmiliki wa cold room mwenye asili ya kiasia kule mwenge. Maana hakukuwa na logic kuwatoa kwenye cold room ya meli ukawapeleka kwenye cold room binafsi halafu serikali ilipie ada ya uhifadhi huo ulikuwa ufisadi uliotukuka.
 
Hivi sasa TANROADS ina kesi nyingi mahakamani zilizosababishwa na maamuzi yake yasiyoheshimu sheria.......................alijipatia umaarufu kwenye bomoabomoa ambayo ilifukarisha watanzania wengi bila ya fidia....................................................aliokolewa na fisadi lowassa wakati akiwa PM katika kashfa ya upoteaji wa zaidi ya bilioni kumi za barabara ambazo wengi waamini alizielekeza kibindoni kwake.................Waswahili husema ukiona debe tupu ujue halitaacha kutika......................na huyu Magufuli anatika kwa sababu ni mtupu....................ukiona karne hii ya 21 kiongozi anahangaika kurukia shahada ya mwenzie na yeye aonekana ana PHD ujue huyo hatufai............................
 
Remember Waziri Mkuu ni kiongozi wa Mawaziri wengine ---> In this case hapana Magufuli sio chaguo bora!!!
 
MAGUFULI TUNAMHITAJI CHADEMA maana hatatughrimu sana kumsafisha amechafuka kiasi laikini anasafishika tutatumia maji kiasi akawa msafi.
Hatuwezi kuchukuwa mtu kam LW itahitajika maji yote ya bahari ya hindi kwa ajili ya kumsafisha huyu jamaa ili afae.

PIGA UWA GARAGAZA JK hawezi kumweka JPM kuwa PM kwasababu wanajua kwa mtazamo wa nje JPM ni CCM lakini damu yake siyo CCM.PIa kumbukeni huyu jamaa alikuwa kundi tofauti na akina JK ndo maana hata kwenye serikali ya JK yumo tu kwa sababu ya nguvu ya wananchi lakini hatakiwi!


Mimi namshauri JPM kama ni mzalendo wa ukweli 2014 ahamie Chadema maana hata uchaguzi wa mwaka huu ameona alivyopata challenge jimboni kwake kwa matokeo ya awali nilidhani atapumulia machine siyo muda ....................
 
Back
Top Bottom