Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 738
1. Ni stageshow. Anapenda kuonekana anapotenda jema na anaongea kwa nguvu ili watu wamjue kuwa katenda. Ni mfuasi wa Mrema style.
2. Ni msafi wa nje tu: Anajionyesha kwa watu kuwa ni msafi, lakini sivyo alivyo. Yeye si mwizi wa kujilimbikiza mali, bali ni "mwizi" wa kuwaangalizia wanaoiba wasishikwe. Kwa mfano, ilikuwa busara gani yeye kukubali nyumba 'za serikali' nyingi zilizojengwa na wakoloni ziuzwe kwa viongozi wa sasa wa CCM? Alisema Dr Slaa, inakuwaje hajawahi kuchoma nyavu zikiwa madukani (wauzaji), bali anachoma za wavuvi maskini?
3.Anaamini sana takwimu: Takwimu zinasaidia kuamua, lakini si za kuaminisha asilimia 100%.
NINAMPENDA MAGUFULI KWANI ANAWEZA KAZI NGUMU ZA KUKIMBIA KIMBIA, BUT HE IS NOT A STRATEGIC THINKER.
2. Ni msafi wa nje tu: Anajionyesha kwa watu kuwa ni msafi, lakini sivyo alivyo. Yeye si mwizi wa kujilimbikiza mali, bali ni "mwizi" wa kuwaangalizia wanaoiba wasishikwe. Kwa mfano, ilikuwa busara gani yeye kukubali nyumba 'za serikali' nyingi zilizojengwa na wakoloni ziuzwe kwa viongozi wa sasa wa CCM? Alisema Dr Slaa, inakuwaje hajawahi kuchoma nyavu zikiwa madukani (wauzaji), bali anachoma za wavuvi maskini?
3.Anaamini sana takwimu: Takwimu zinasaidia kuamua, lakini si za kuaminisha asilimia 100%.
NINAMPENDA MAGUFULI KWANI ANAWEZA KAZI NGUMU ZA KUKIMBIA KIMBIA, BUT HE IS NOT A STRATEGIC THINKER.