Doromee kilevi hatari kinachotumika kuwaibia watu magari

Jeshi la polisi mkoani Njombe limewatahadharisha wananchi na wamiliki wa vyombo vya moto kuwa makini pindi wanapokuwa sehemu za starehe ili kuepuka kuwekewa vilevi katika vinywaji vyao na kusababisha kuibiwa magari yao, baada ya kupewa vinywaji ambavyo vinachanganywa na ugoro na Valium ambavyo husababisha kulewa zaidi na kupoteza fahamu, mtindo huo unajulikana kwa jina la "Doromee".
Hii kitu hata huku Chugga ipo sana last night niliponea kuwekewa kitu kwa kinywaji changu nilipoenda wash room lakini mhudumu akaniokoa

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu DAR ni mji mbaya sana umejaa mashetani ndio maana kuna dhambi mbaya ya kila aina. Hata unipe chochote siwezi kukaa Dar.
Kumbe huko Dar ndiyo maana unasema huo mtindo ukifika Dar? Kwa taarifa yako Dar uko siku nyingi na watu wameshaushtukia siku hizi. Wacha hiyo ya kuweka kwenye pombe, ulikuwepo mtindo wa kupaka kwenye matiti. Unachukuwa mrembo matiti saa 6 anakuambia ''mimi bila kunyonya matiti yangu sijisikii kabisa'' Kama ni wa mkoani kama wewe unafakamia kama paka mwenye njaa. Utakuja kujitambua kesho yake na kila kitu kimekwenda.
 
Kumbe huko Dar ndiyo maana unasema huo mtindo ukifika Dar? Kwa taarifa yako Dar uko siku nyingi na watu wameshaushtukia siku hizi. Wacha hiyo ya kuweka kwenye pombe, ulikuwepo mtindo wa kupaka kwenye matiti. Unachukuwa mrembo matiti saa 6 anakuambia ''mimi bila kunyonya matiti yangu sijisikii kabisa'' Kama ni wa mkoani kama wewe unafakamia kama paka mwenye njaa. Utakuja kujitambua kesho yake na kila kitu kimekwenda.
Nipo mkoani lakini usinidhanie bwege. Keep quite.
 
Hiyo huku chuga tunaita ngusujii au geji. Ukiwekewa lazima ukate moto kwanza advertise ya kwanza unaona kama unatembea kichwa chini miguu juu.

Huo ni ugoro tu kwa wanaojua.
 
Neno doromee mara ya kwanza nimelisikia kwenye stori ya George mosenya inayoitwa RIPOTI KAMILI. mhme aliwekewa dawa hiyo akauchapa usingizi wa kutosha kisha mke akaenda kuliwa nje dah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom