PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 9,076
- 29,810
Huku ndiko imeanzia kama ulikuwa hujui tena doromee ya miaka ya zamani walikuwa wanadondoshea dawa ya macho matone mawili TuOmbeni Mungu Doremii isifike Dar, ikifika Dar walevi watakuwa wanaamka wamepasuliwa mayai.